Karikenye
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 564
- 280
Kijakazi, uzalendo ni pamoja na kuwa na mawazo mbadala!! usije dhani mtu akiwaza juu ya modus operandi ya kukutoa pointi A kwenda B, kwa njia tofauti na unayoizungumzia wewe kuwa anaipinga safari ya kutoka pointi A kwenda B..what makes the difference is the modus operandi! Ila wote mnaweza mkawa wazalendo!! Tatizo hao wanaolaumiwa hapa wakiambiwa kuna njia mbadala hawataki, na wanakuwa na fear of the unknown!!