kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
why?!or just because he has a huge noise and a mouth?:-*Hamna Mtanzania yuko vile!!!
why?!or just because he has a huge noise and a mouth?:-*Hamna Mtanzania yuko vile!!!
prezzo ni kifaa cha kukamulia juice ya muarobaini, ukitaka kukipata mtafute Dr. Ndodi!Prezzo ni kifaa gani?
Anajua Tz mko kama 45mil ivi so akipata apo ata 5mil votes si haba!
Ila kwa sasa watz life ikoo tight sijui kama atafanikiwa kupata votes
:nono:Na ndiyo maana anataka kuondoka BBA maana anaona UVIVU wa KITANZANIA. Maana watanzania ni wavivu sana na hawataki shida.
janja ya kutaka kura za watz.
Huo ni ukweli; Mama yake ni Mkuria wa Tanzania ila babake ni Mkikuyu wa Kenya..
CMB Prezzo ana binamu zake wengi; Chacha Wangubo, Mary Robi na wengineo huku Mwanza.
Prezzo kasafiri mara nyingi kuelekea Mara kuwatembelea wajomba, mama mdogo wake na wengineo
why?!or just because he has a huge noise and a mouth?:-*
Na ndiyo maana anataka kuondoka BBA maana anaona UVIVU wa KITANZANIA. Maana watanzania ni wavivu sana na hawataki shida.
Prezzo ni kifaa gani?
so whatJamani msikatae, ni mwanenu huyo...:sick: