Nimemsikiliza Nyalandu akiwajibu waandishi swali la yeye kuhusika na usafirishaji wa TWIGA wetu kwenda Uarabuni kipindi cha JK.
Akajibu swali kwa swali - akasema " Hivi unadhani ningekuwa kweli nilihusika kwa AWAMU hii ningekuwa barabarani?" Hivi makamanda wenzangu huku sio kukiri kuwa JPM ni Jiwe na Chuma cha ukweli mbele ya UFISADI?
Hii kauli haiconfirm alichoeleza Mh Silinde kuwa hata wapinzani wakikaa pembeni wenyewe kwa wenyewe huwa wanaappreciate saaana uongozi wa JPM?
Tumtonye Mwenyekiti afanye video conference na kamati kuu nini?
Akajibu swali kwa swali - akasema " Hivi unadhani ningekuwa kweli nilihusika kwa AWAMU hii ningekuwa barabarani?" Hivi makamanda wenzangu huku sio kukiri kuwa JPM ni Jiwe na Chuma cha ukweli mbele ya UFISADI?
Hii kauli haiconfirm alichoeleza Mh Silinde kuwa hata wapinzani wakikaa pembeni wenyewe kwa wenyewe huwa wanaappreciate saaana uongozi wa JPM?
Tumtonye Mwenyekiti afanye video conference na kamati kuu nini?