Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,182
- 24,684
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara bwana Samwel Kiboye amethibitisha kuwa kumbe wabunge na viongozi wengine wa upinzani wanaokwenda CCM wanakuwa wamefika bei na kununuliwa.
Kiongozi huyo kayasema hayo hadharani akimwambia mbunge wa Ukonga na naibu waziri wa Tamisemi Bwana (sio mheshimiwa maana hakuna mheshimiwa anayejiuza) Mwita Waitara.
Kisa cha siri hiyo kutoka hadharani ni baada ya Waitara kujisahau na kuanza kuwadharau wana CCM hivyo Mwenyekiti huyo wa mkoa kumtahadharisha kuwa pamoja na kufika bei hawana thamani ndani ya chama kama wanavyo dhani.
Jee kuna ubishi tena kuwa huwa WANANUNULIWA?View attachment 1380076
Sent using Jamii Forums mobile app
What goes around comes around
Walionunuliwa wote this is your fate
Tegesha your arses ,shaft is coming!