Mkongwe Mzoefu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 842
- 2,467
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara bwana Samwel Kiboye amethibitisha kuwa kumbe wabunge na viongozi wengine wa upinzani wanaokwenda CCM wanakuwa wamefika bei na kununuliwa.
Kiongozi huyo kayasema hayo hadharani akimwambia mbunge wa Ukonga na naibu waziri wa Tamisemi Bwana (sio mheshimiwa maana hakuna mheshimiwa anayejiuza) Mwita Waitara.
Kisa cha siri hiyo kutoka hadharani ni baada ya Waitara kujisahau na kuanza kuwadharau wana CCM hivyo Mwenyekiti huyo wa mkoa kumtahadharisha kuwa pamoja na kufika bei hawana thamani ndani ya chama kama wanavyo dhani.
Jee kuna ubishi tena kuwa huwa WANANUNULIWA?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi huyo kayasema hayo hadharani akimwambia mbunge wa Ukonga na naibu waziri wa Tamisemi Bwana (sio mheshimiwa maana hakuna mheshimiwa anayejiuza) Mwita Waitara.
Kisa cha siri hiyo kutoka hadharani ni baada ya Waitara kujisahau na kuanza kuwadharau wana CCM hivyo Mwenyekiti huyo wa mkoa kumtahadharisha kuwa pamoja na kufika bei hawana thamani ndani ya chama kama wanavyo dhani.
Jee kuna ubishi tena kuwa huwa WANANUNULIWA?
Sent using Jamii Forums mobile app