Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,146
- 6,052
sijambo pia,niletee zawadi kutoka Uganda,lol
Usipende kuwa mzigo kihivyo....utaletewa dushelele ushindwe kulimudu, shauri yako.
sijambo pia,niletee zawadi kutoka Uganda,lol
Mkuu ya kweli hayo?Uganda nimekaa sana. Ni nchi kama vile haina sheria, mfano mtu kamtia mimba binti yako ukimripot polisi akidakwa bas unaenda mnaelewana anakulipa gharama za malezi na elimu halafu unampa mke wake.
Boda boda unaeza kuinunua na ukaitumia bila kuisajili had inakongoroka.
Magendo hakuna Uganda, we ingiza chochote kwao ni halali.
Bange, gongo, viroba na mirungi ni halali
Usipende kuwa mzigo kihivyo....utaletewa dushelele ushindwe kulimudu, shauri yako.
Kwani kosa lake ni nini mkuu??
ulijiskia kunitusi tu eti?haya bwana
Mkuu kwani we unajua Mimi na huyo tunafahamianaje hadi akasema hivyo na wewe kuleta mawazo yako.Anajirahisisha mno, yaani anaonekana tu analilia kitu fulani chenye kichwa na jicho.
Sijakutusi, nimekupa tu tahadhari...mimi sina tabia ya kutusi watu.
Angefananisha Mkoa na Mkoa.mmh! sio sahihi kufananisha bei ya ug na tz, kutokana na tofaut zetu za sarafu.