mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,336
- 6,427
Yeah nimeshangaa haya maongezi ya pm imekuwaje yawe public aisee cc Invisible Moderator @jamiiforumHayo maongezi ya pm umeyapata kwenye profile?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah nimeshangaa haya maongezi ya pm imekuwaje yawe public aisee cc Invisible Moderator @jamiiforumHayo maongezi ya pm umeyapata kwenye profile?
Huwa App kwa kila mtu inaonyesha hivyo Mkuu hata kama hajaitumia miaka kibao imepita.
Msema kweli ni Browser japo nimeenda kuangalia naona aliondoa ile ya kujua last seen sababu hata mara ya mwisho kuandika ilikuwa kitambo
View attachment 986700
View attachment 986701
You stop breathing🙂How would you know if I die????
Ile ID ya Ibra inatumika, Asubuhi ilikuwa active. Dot ya kijani ilikuwepo.Ok ngoja nicheki maana nimestuka sana pia nimekuta mpaka kile kidoti cha kijana duh...
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Hata mimi niliiona mpaka nikashangaaIle ID ya Ibra inatumika, Asubuhi ilikuwa active. Dot ya kijani ilikuwepo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana,Akifa jingalao na makijani yote itakuwa poa tu
Kama zitto mnataka kumuua hata mama yako inawezekana tu !!Pole sana,
Mungu ndo mwamuzi wa yote,
Jingalao anaweza kutangulia au wewe inawezekana tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Matusi hayakusaidii kitu,Kama zitto mnataka kumuua hata mama yako inawezekana tu !!
DuuuuuMwanachama mwenzetu Kibao nae amefariki trh31/12/2018...
Mazishi yalikua trh2/1/2019
Jamii forums Paw
Sent using Jamii Forums mobile app
Kule jukwaa la siasa ndiyo kunanifanya nisitake kujulikana maana huwa naharibu sana







Hiyo account ya ibra87 kuna mtu anaendelea kuitumia ama ni ubongo wangu ulivurugwa mana nahisi jana niliona hiyo account ikiwa online,nilishtuka kidogo ila cjataka kuwazua sana nikapita tuWapumzike kwa amani
Regia Mrema
Dena Amsi
Chetuntu
Dotto
Ibra87
Mohammed Mtoi
Na wanaJF wengine wote waliotutangulia
Marehemu anachat kuzimu Mshana JrHiyo account ya ibra87 kuna mtu anaendelea kuitumia ama ni ubongo wangu ulivurugwa mana nahisi jana niliona hiyo account ikiwa online,nilishtuka kidogo ila cjataka kuwazua sana nikapita tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jina halisi unalitambua vipi? Mfano John Mwakajoka utafahamu vipi kama feki au halisi?Kama tukitumia majina halisi
Hatunaye tena huyo mtu. Mungu amrehemuHiyo account ya ibra87 kuna mtu anaendelea kuitumia ama ni ubongo wangu ulivurugwa mana nahisi jana niliona hiyo account ikiwa online,nilishtuka kidogo ila cjataka kuwazua sana nikapita tu
Sent using Jamii Forums mobile app