Kumbe MwanaHaki wa JF alishafariki?

Kumbe MwanaHaki wa JF alishafariki?

Kwema BackPanther. Hayo ndiyo maisha. Hebu inmagine watu woote tungekuwa na mtazomo sawa. Dunia ingekuwa boring.

Hahaa Kabisa mkuu! Tuko pamoja....Kuna kipindi ulipotea kabisa,, nikawa sikuoni...
 
Majukumu ya kazi Mkuu! Hata sasa nimechungulia tu miezi hii karibu tena nitapotea! Japo tuko pamoja!

Pole sana mkuu, kazi nayo ni ibada mojawapo...hata hivyo nashkuru sana tuko wazima wa afya...Ahsante!
 
apumzike kwa amani..
subirini mtakapoanza kutumia majina yenu ya ukweli nadhani ikitokea kifo itakuwa rahisi kujulikana sasa.
 
Wapumzike kwa amani
Regia Mrema
Dena Amsi
Chetuntu
Dotto
Ibra87
Mohammed Mtoi

Na wanaJF wengine wote waliotutangulia

Mohamed Mtoi hatunaye oh my God alikufa lini huyu mpambanaji ni nini kimpata?
RIP Medy
 
Wapumzike kwa amani
Regia Mrema
Dena Amsi
Chetuntu
Dotto
Ibra87
Mohammed Mtoi

Na wanaJF wengine wote waliotutangulia
Ibra 87 yupo hai au kuna mtu anatumia id yake na kwanini?
Screenshot_20190105-122853.jpeg


Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Tatizo hizi ID zetu zinafanya tusijue maisha yetu...inaonekana wengi wanakufa ila hatujui kama wanakufa
Kuna mmoja alienifanya nijiunge jf 2011 naye alifariki lakini id take humu sikupata kuifahamu Nina lake halisi aliitwa kedmon mgatta alikuwa o mmoja was viongozi wa daruso enzi za kina mtatiro.
 
Ibra 87 yupo hai au kuna mtu anatumia id yake na kwanini? View attachment 986678

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Huwa App kwa kila mtu inaonyesha hivyo Mkuu hata kama hajaitumia miaka kibao imepita.

Msema kweli ni Browser japo nimeenda kuangalia naona aliondoa ile ya kujua last seen sababu hata mara ya mwisho kuandika ilikuwa kitambo

20190105_130023.jpg


20190105_130350.jpg
 
Back
Top Bottom