saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,174
- 6,159
km msukuma? MNEC tu mnaweweseka. Hamtapata tena rais kenge nyie.Huyo Mahenda mwenyewe Msukuma endelea kujifariji!
km msukuma? MNEC tu mnaweweseka. Hamtapata tena rais kenge nyie.Huyo Mahenda mwenyewe Msukuma endelea kujifariji!
Wachaga ni wezi mno hawatakaa wapate raiskm msukuma? MNEC tu mnaweweseka. Hamtapata tena rais kenge nyie.
Hali imewaendea vibaya vijana wawili Nape na January Makamba baada ya matokeo ya uchaguzi kuonyesha kumbe Askofu Gwajima na darasa la saba Musukuma wana nguvu na uungwaji mkono mkubwa ndani ya ccm kuliko wao.!
Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.
Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730
Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428
Msukuma ni kanda ya ziwa na ni sukuma gang!
Ndio sababu unaona Mzee wa hovyo Makamba na Jk walipanic sana
2030 twende na Msukuma
kanda ya ziwa ndiyo nini? Huoni aibu jitu zima? Je Mahenda? na Jackson Je? Marehemu amewaharibu kwl utafikiri kanda ya ziwa ni kubwa kulliko Tanzania. Kanda ya ziwa haifiki ht 30% ya population yote. Pili hata hiyo kanda ya ziwa siyo kabila au asili moja. Kagera na Mara siyo washamba km wasukuma na hawana visababa nanyi washamba. Kuna wilya ya Ukerewe. Wasukuma ni mijitu ya hovyo kwl, siku hizi kila kitu kanda ya ziwa. hamuoni hata aibu.
Msukuma na Bashungwa ni sukuma gang. Tumewaona na tunawafanyia kazi. Soon mtaona matokeo.
Hili halikutegemewa kabisa ndani ya CCM hii inayofikiriwa kuwa ipo mikononi mwa wenyewe, watoto wao kupigwa kwa kura nyingi kumewatia hasira sana kiasi cha kutukana watu hovyo.
Vijana wa mwendazake wameng'ara
Wachaga ni wezi mno hawatakaa wapate rais
Eti ooh kanda ya ziwa Acheni ushamba nyie muhaya na msukuma wapi na wapi? Mjita na msukuma wapi na wapi? Mkurya na msukuma wapi na wapi? Msijidanganye Eti haya makabila yanawaunga mkono hata wazinza wa sengerema msiwategemee. Wakerewe ndio kabisa wale wanaelewana na ndugu zao wajita. Kama mnataka support ya hayo makabila basi mtu mnaye mtaka atoke hayo makabila na aasiwe msukuma huo ndio ukweli. Ila kuja na gear ya kanda ya ziwa ili kumpitisha msukuma tena kutegemea support ya wajita Wakerewe, wajaluo, wahaya, wakurya wazanaki na wengine ni kujidanganya. Ushauri mjitoe tu Tanzania maana mnaona mnaonewa sana.
Tulia wewe dawa ikuingie vizurikanda ya ziwa ndiyo nini? Huoni aibu jitu zima? Je Mahenda? na Jackson Je? Marehemu amewaharibu kwl utafikiri kanda ya ziwa ni kubwa kulliko Tanzania. Kanda ya ziwa haifiki ht 30% ya population yote. Pili hata hiyo kanda ya ziwa siyo kabila au asili moja. Kagera na Mara siyo washamba km wasukuma na hawana visababa nanyi washamba. Kuna wilya ya Ukerewe. Wasukuma ni mijitu ya hovyo kwl, siku hizi kila kitu kanda ya ziwa. hamuoni hata aibu.
Hao jmaa hawana jipya ni kubebwa tuu,Hali imewaendea vibaya vijana wawili Nape na January Makamba baada ya matokeo ya uchaguzi kuonyesha kumbe Askofu Gwajima na darasa la saba Musukuma wana nguvu na uungwaji mkono mkubwa ndani ya ccm kuliko wao.!
Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.
Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730
Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428
Au Haji Manara.
Siyo hivyoKama ni hivyo anayefaa urais ni mahenda maana amekuwa wa kwanza.
Sawa sisi ni washamba😂,lakini kuhusu ubaguzi umechemka,, vijana wa kisukuma wamejichanganya kona zote za nchi na wanaoa kabila lolote lile,,
🤷🏼♂️,,
Toa nyongeza ya wajumbe 5 walioongezeka baada ya mabadiliko ya kanuni, mwanamke 1 na wanaume 4 kama utawaona Makamba na Mwigulu.Watu wameshinda , wewe unasema wana hali mbaya!!
Naona emotional pains mkuu sawa sawa na physical pains. Yaani umepata maumivu ya kufa mtu. Yenye intensity ya magnitude katika kipimo Cha Ritcher scale 30psi,katika kipimo Cha CAndela Ni 6890lx na katika kipimo Cha waves Ni 78650 MdecibelWasukuma ni mijitu ya hovyo kwl, siku hizi kila kitu kanda ya ziwa. hamuoni hata aibu.
Watu wa Mara wamemchagua Musukuma kwa kishindoBora umewaambia wanalazimisha wote tuwe wasukuma. Nimewaambia kwenye hayo maukabila yao waitoe Mara na kagera Basi.