johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,946
- 141,921
Hapa Tanzania Huduma ya twitter haipatikani kwa uhakika hasa baada ya uchaguzi, inawezekana ni kwa sababu za kiusalama.
Rais Uhuru Kenyatta alifunga akaunti yake ya twitter kwa madai kuwa mambo yaliyojaa huko ni kejeli na kuvunjiana heshima na yeye hana muda na mambo kama hayo.
Nchini Marekani twitter wenyewe wameifunga akaunti ya Rais Donald Trump kwa sababu za kiusalama wa nchi.
Kumbe " kufunga" ni namna bora ya kuhakikisha dunia iko Salama.
Maendeleo hayana vyama!
Rais Uhuru Kenyatta alifunga akaunti yake ya twitter kwa madai kuwa mambo yaliyojaa huko ni kejeli na kuvunjiana heshima na yeye hana muda na mambo kama hayo.
Nchini Marekani twitter wenyewe wameifunga akaunti ya Rais Donald Trump kwa sababu za kiusalama wa nchi.
Kumbe " kufunga" ni namna bora ya kuhakikisha dunia iko Salama.
Maendeleo hayana vyama!