Enyampisakiniga Eyenyela
Member
- Aug 14, 2025
- 14
- 54
Sikuratjia kama huyu msanii anaweza kuwa na uwezo mdogo saana wa kujenga na kuchambua mada na kujileza hadi nilipomsikilizi jana jioni kupitia kituo kimoja cha redio ambacho kimekuwa kikitumiwa na chama cha kijani kupitisha ajenda zake.
Kumbe jamaa hata shule hamna. Aisee tupeleke watoto wetu shule. Sijui nani alikuwa anamuandikia mashahiri ya zile nyimbo zake zilizovuma saana kipindi kile...aisee jama mtupu kabisa!!
Kumbe jamaa hata shule hamna. Aisee tupeleke watoto wetu shule. Sijui nani alikuwa anamuandikia mashahiri ya zile nyimbo zake zilizovuma saana kipindi kile...aisee jama mtupu kabisa!!