Excel VBA
JF-Expert Member
- Oct 27, 2025
- 618
- 1,364
why ?I will forgive all mistakes but not cheating
why ?I will forgive all mistakes but not cheating
Dhambi zote husamehewa isipokuwa kuharibu hekalu la roho mtakatifuwhy ?
Baba D niko Dubai nipe location 😹Mtu na mpenzi wake wote malaya
Mmoja mnunuzi mwingine muuzaji
D? Unanifahamu?Baba D niko Dubai nipe location 😹
Ye mwenyewe huko tiktok ameuliza wenzie afanyeje mpenzi wake ( ananunua Malaya? AmeulizaNilitoka mkoa wa Dodoma nikiwa naelekea Songea kwenye makaa nilipofika mkoa wa iringa nikasema ngoja nipoe kimtindo maana ilikuwa usiku kutokana na baridi ya pale Mafinga nikamwambomba "boda" alie nitafutia geust anitafutie na mtoto mzuri, maana si unajua ugeni.
kweli jamaa akawa ameniacha geust nilipofikia sikujua alipokwenda nitafutia huyo mrembo, kutokana na kupenda mitungi nikawa nimetoka pale geust na kuacha maagizo kwa muhudumu,
Baada ya muda kidogo yule bodaboda akanipigia simu tayari amempata nikamwambia maagizo nimeacha kwa muhudumu, sikukawia nikawa nimerudi pale geust muhudumu akaniambia tayari mgeni wako yupo chumbani
Ile nafika chumbani nakuta mpenzi wangu ambae alinidanganya anaenda kwa wazazi wake!!
hapo wewe ungefanyaje?
Ye mwenyewe analalamika na kutaka ushauri baada ya kugundua mpenzi wake (wewe) ananunua MalayaNilitoka mkoa wa Dodoma nikiwa naelekea Songea kwenye makaa nilipofika mkoa wa iringa nikasema ngoja nipoe kimtindo maana ilikuwa usiku kutokana na baridi ya pale Mafinga nikamwambomba "boda" alie nitafutia geust anitafutie na mtoto mzuri, maana si unajua ugeni.
kweli jamaa akawa ameniacha geust nilipofikia sikujua alipokwenda nitafutia huyo mrembo, kutokana na kupenda mitungi nikawa nimetoka pale geust na kuacha maagizo kwa muhudumu,
Baada ya muda kidogo yule bodaboda akanipigia simu tayari amempata nikamwambia maagizo nimeacha kwa muhudumu, sikukawia nikawa nimerudi pale geust muhudumu akaniambia tayari mgeni wako yupo chumbani
Ile nafika chumbani nakuta mpenzi wangu ambae alinidanganya anaenda kwa wazazi wake!!
hapo wewe ungefanyaje?
Ndio nakufahamu 😹D? Unanifahamu?
Ushafeli mi sio baba kwenye D uko sahihi ni Dick 😋Ndio nakufahamu 😹
Mimi kokote nipo baba D