hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 54,263
- 80,032
😄😄😄Aongezee na mkateTangawizi imetosha pia iriki iko wastani
😄😄😄Aongezee na mkateTangawizi imetosha pia iriki iko wastani
Achana na hayo mambo. Fanya mambo mengine
Sasa wewe mwenyewe mnunuaji wa wanawake huyo ndio anaye kufaa maana wote mnapenda zinaaNilitoka mkoa wa Dodoma nikiwa naelekea Songea kwenye makaa nilipofika mkoa wa iringa nikasema ngoja nipoe kimtindo maana ilikuwa usiku kutokana na baridi ya pale Mafinga nikamwambomba "boda" alie nitafutia geust anitafutie na mtoto mzuri, maana si unajua ugeni.
kweli jamaa akawa ameniacha geust nilipofikia sikujua alipokwenda nitafutia huyo mrembo, kutokana na kupenda mitungi nikawa nimetoka pale geust na kuacha maagizo kwa muhudumu,
Baada ya muda kidogo yule bodaboda akanipigia simu tayari amempata nikamwambia maagizo nimeacha kwa muhudumu, sikukawia nikawa nimerudi pale geust muhudumu akaniambia tayari mgeni wako yupo chumbani
Ile nafika chumbani nakuta mpenzi wangu ambae alinidanganya anaenda kwa wazazi wake!!
hapo wewe ungefanyaje?
kabisa na hii baridi kinywaji hiki na kamkate itapendeza "in doctor Shika's voice"😄😄😄Aongezee na mkate
Kula kama mgeni uliyetafutiwaNilitoka mkoa wa Dodoma nikiwa naelekea Songea kwenye makaa nilipofika mkoa wa iringa nikasema ngoja nipoe kimtindo maana ilikuwa usiku kutokana na baridi ya pale Mafinga nikamwambomba "boda" alie nitafutia geust anitafutie na mtoto mzuri, maana si unajua ugeni.
kweli jamaa akawa ameniacha geust nilipofikia sikujua alipokwenda nitafutia huyo mrembo, kutokana na kupenda mitungi nikawa nimetoka pale geust na kuacha maagizo kwa muhudumu,
Baada ya muda kidogo yule bodaboda akanipigia simu tayari amempata nikamwambia maagizo nimeacha kwa muhudumu, sikukawia nikawa nimerudi pale geust muhudumu akaniambia tayari mgeni wako yupo chumbani
Ile nafika chumbani nakuta mpenzi wangu ambae alinidanganya anaenda kwa wazazi wake!!
hapo wewe ungefanyaje?
Kamsemee kwa babaakehapo wewe ungefanyaje?
Hv Ndo umenikaushia?Kula kama mgeni uliyetafutiwa
Sikuwezi 😂😂🙌nilimla hata sikujali
UwiiiHv Ndo umenikaushia?
Inasikitisha sana mkuu 😔Uwiii
Kesho nitaandika Uzi wa kuomba radhi 😜Inasikitisha sana mkuu 😔
Acha hizo wwKesho nitaandika Uzi wa kuomba radhi 😜
Nimesoma tu nikaona chai hiiiTangawizi imetosha pia iriki iko wastani