Kumbe mimba ya Zari si ya Diamond

Kumbe mimba ya Zari si ya Diamond

Hapo sasa, huyo wema hamtoki akilini sijui alimnyima nini.
Thread haimhusu lakini kakazana na wema, wema.
Halafu huyu mgeni sijui? Tokea lini sisi tukawa mashabiki wa wema?
Umbea una wenyewe bwana, kudandia gari kwa mbele tu.

Mwache aamini ivo ivo.
 
Jamani, twende mbele turudi nyuma.
WEMA IS IRRESISTIBLE.
Ni kama maji, usipoyanywa utayaoga.Usipoyaoga utayachambia kama iviiii...
Mimi huwa nipo against na matendo ya Wema ila simchukii kama huyu jamaa.Huyu ni obsessed admirer sio siri.

Umesema kweli tupu kabisa mwenyewe mambo mengi ya Wema siyakubali ila simchukii. Ila huyu mwanaume kazidi kwa Wema aisee sijaona ila huyu Wema kamkaa rohoni ka nini sijui.
 
Na zile walizotupa kwa mjomba dokta zilikua zako ha ha ha mlisema anavimbisha tumbo, mara hana mimba kashiba matoke sahivi mnasema sio ya dai akizaliwa princess mtasema sio mtoto ni mdoli pyeeeeeeeeee muishie kule zari ndo huyooooo kaokota apple chini ya mwembe ongeeni tu ndo kazi ya mdomo hiyo
Evelyn salt katika ubora wake!!
 
Kama za kwako vile...jiangalie akili zako na za wema...just typical

Well am glad.
Ila haiondoi ukweli kuwa Wema naye ni binadamu ana ubongo kama mimi.
Amefanikiwa kufungua kampuni yake binafsi,
Ana vitega uchumi na miradi mingi ambayo soon ataitangaza,
Aliweza kuyashinda mazingaombwe ya Nassin aliezika kondoo mzima.
 
Inawezekana kweli Wema katumia mchina.
Ila haiondoi ukweli kuwa she is beautiful.
Wewe unamwona mbaya.Chibu alitundika room kwake picha za Wema na kuzipigia nyeto mapaka aliporoga ndio akampata.

Rais wa wasafi alikosea njia sana

Huyu sio mwanamke wa kupiga

Huyu ni gagagudu.....

Yaani huyu na wale wa kona bar hana tofauti

Ndio maana Dimond alikua hana mwelekeo wa maisha kwa sababu ya huyu mtu

Right now Dimond ni mtu anayejielewa anafanya nini...kwa sababu yuko na Brainy woman

Sasa hili gagaggudu linawaza pombe na kuuza papuchi tu....
 
Inawezekana kweli Wema katumia mchina.
Ila haiondoi ukweli kuwa she is beautiful.
Wewe unamwona mbaya.Chibu alitundika room kwake picha za Wema na kuzipigia nyeto mapaka aliporoga ndio akampata.

Na hadi sasa taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba chibu anampenda sana wema.
Yaani huyu ndio mwanamke wa maisha yake, sasa sijui huyo shabiki wake anakarahika nini na soul mate wa boss wake.
 
Well am glad.
Ila haiondoi ukweli kuwa Wema naye ni binadamu ana ubongo kama mimi.
Amefanikiwa kufungua kampuni yake binafsi,
Ana vitega uchumi na miradi mingi ambayo soon ataitangaza,
Aliweza kuyashinda mazingaombwe ya Nassin aliezika kondoo mzima.

And then thats just a story with no evidence

Hahahahahhahahahahahahahah...Atafungua duka South Afrika sio?

Na hata kiosk hana Tanzania?

Kweli nyie mashabiki wa gagagudu mmelogwa.

Namfahamu wema alivokuwa anakuja namchoropoa vimimba vyake
 
Mish u pia, mi hizi habari za kurelate eti mimba na muda walokutana naona ni usengerema tu, wanaassume walipotangaza project ndo walipoanza mahusiano mmh vipi kama b ikiwa wapenzi muda tu kisiri siri....mfyuuuuu

Ikumbukwe hata Katunzi pia alikua mpenzi wa Siri.
 
Kwendraaaaa! Wewe unavyomtukana wema hapo una dada kweli? Hata kama hauna huyo ni mwanamke pia.
Ungeonesha mfano kwanza ndio utuseme sie, mnafki mkubwa.

HALO HALOOOOOOO! HALO YA MAMA CHIBU NA DOGODOGO WAKE ALIYEOA!!

Tena usinichefue ipo siku nikichafukwa nitaweka picha zake chafu huku na huyo serengeti wake, ohooooo!

tenaaaaaaaaaa
mtu mzima hovyoooo hajiheshimu kutwa kuzunguka na dogodogo ndo maana anashindwa kumuonya ht mwanae kila siku kubadili sample

wanavyotukanwa wazazi wa wema mnona raha eeeeee
ama kweli mtenda akitendewaa...m
 
Na hadi sasa taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba chibu anampenda sana wema.
Yaani huyu ndio mwanamke wa maisha yake, sasa sijui huyo shabiki wake anakarahika nini na soul mate wa boss wake.

Hahahahahah..Taarifa za uhakika anazo Nifah...doh...hii kali...enheee taarifa za uhakika zingine ni zipi?
 
Inawezekana kweli Wema katumia mchina.
Ila haiondoi ukweli kuwa she is beautiful.
Wewe unamwona mbaya.Chibu alitundika room kwake picha za Wema na kuzipigia nyeto mapaka aliporoga ndio akampata.

ahahahaa!!na Wema huyo huyo akapiga simu kutaka warudiane tena kwa kubembeleza!!!aaargh mtani mi bongo sihami
 
Wema atakufanya uchizike kabisa mana kumtaja wema ndo defence mechanism yako eeeh.
For ua information hata kama unamchukia vipi Wema haihalishi wengine kutomkubali. Naona unaanza kuhisi eti Wema ni boss wetu utajibeba na chuki zako kwake teh teh teh teh😀😀😀😀
Sasa hata akiuza we we inakuuma nini labda papuchi yake acha isuguliwe atakavyo, Mimi hainihusu ingekua yangu Sawa tu hata we we chako kitumie vizuri tu ili wengine wakisuguliwe uwe una take chill pill.😎😎

Naona wanataka tuje na ushahidi wa uchafu wa Zari.
Zari namkubali ila kahaba.
Anaitwa UN summit so hapo ngoma droo.
 
tenaaaaaaaaaa
mtu mzima hovyoooo hajiheshimu kutwa kuzunguka na dogodogo ndo maana anashindwa kumuonya ht mwanae kila siku kubadili sample

wanavyotukanwa wazazi wa wema mnona raha eeeeee
ama kweli mtenda akitendewaa...m

wazazi wa wema hawajatukanwa na mashabiki wa Platnumz Diamond

Wazazi wa wema walitukanwa na mashabiki wa Kajala ...pros mwenzake wema...kwa sababu wote waliiba mme wa mtu mmoja

Sasa jinsi mashabiki wa Pros maarufu east and Central Africa uwezo wenu wa kufikiri upo kiganjani...u cant think beyond the borders
 
nipe tofauti ya daimond na wema kwenye umalaya baas
au zari sio malaya yulee...

usitake tumponde hapaaa
namkubali sana zari ila ni malaya tena umalaya wa zariiiiiina hassan ni wa aibu tupu..!!
mama wa watoto watatu unahaha AFRIKA mashariki na kati kusaka viserengeti ptuuiiiiiuuuuiiiiii

zari ni mzuri sana ila sifa yake kubwa ni ukahabaaaaa
Atleast ni malaya mwenye kiwango sio kama wema jamani kina mr blue, munyama mmh cheki hata kalulu ni ka malaya lakini kako classic
 
Naona wanataka tuje na ushahidi wa uchafu wa Zari.
Zari namkubali ila kahaba.
Anaitwa UN summit so hapo ngoma droo.

Leta huo ushahidi kama Unao

Huyo mwanamke anajitambua....ndio maana anazo business zinazoonekana

Hata akiongea anaongea kama mtu anayetitambua

Sasa Gagagudu lenyewe vigodoro tu
 
Back
Top Bottom