Kumbe mimba ya Zari si ya Diamond

Kumbe mimba ya Zari si ya Diamond

Hahahahahaaa, JIHOGO LA JANG'OMBE la Saleh kidogo limtoe roho mama chibu.
Mama kaugua kapelekwa hadi India ugonjwa hauonekani kumbe mama ana pressure ya kulikosa JIHOGO!...Lol

Hahaaaaa huyu anko Salehe kiboko aisee hana huruma kabisa kamlambisha ndimu mama wa watu Mpaka kachoka ndimu zikamshinda na maumivu yalivozidi wakampeleka India kumwona Daktari loh! Hatari sana.
 
Na hizo kiki za kulambisha watu ndimu zimemtokea puani. Aumie tu kwa kweli kila shauzi lina positive and negative impacts.

Na watuache bwana, sasa hivi habari ya mujini ni mama chibu na serengeti wake sio mtoto na jimama lake.
Hatariiii hiyo, mama na mtoto wanapishana kwa kick mjini hapa.
 
Subiri nimesema hadi nichafukwe.Halafu sasa hivi naelekea mwezi wa toba sitaki kuchuma madhambi mengine, nikirudi nitaweka nikiamua.

Sio lazima uweke wewe bwana.
Wengine sie wabudha hatuna mwezi mtukufu, yote mitukufu naomba mie basiii
 
Eti watumiaji wa mitandao haya waliwasaidia siku wanavuana nguo kwa mara ya kwanza atiiiii?

Mkuu...kuna binadamu wanashangaza sana...

Acheni kijana ale mtoto mtamu wa kiganda

Mtoto Mashaaalah

Walah zari kiwango aseeeeee....nikimwona tu lazima nishtuke

Sasa wale wengine sasa

walah nikipewa demu kama huyu sipigi hata iweje

wema1.jpg
 
Mkuu kama tunaongelea mimba.....hasa jinsi ilivyoingia.....sio public

Ila kama wewe ulikua pale kwenye mashavu ya nanihii ya Zari wakati Dimond anatupia vitu hapo sawa u can comment

Lakini bila hivyo...acheni u pros kama wa wema[/QUOTE

heeee we nae kwani hujui kusoma Kiswahili.....ushaambiwa sio ya ndomo....sasa ningekuweko vp wkt ashadungwa kwingineko...hata data za mtoto kakaaje tumboni pia tutadiscuss kama data zipo...we name wema kakukaa kinywani..Cmjui unamzimia half unaleta sizitaki Mbichi hizi...ya wema hayanihusu discuss kilichoko mezani
 
Kuna siku walienda zanzibar, wakapanda boti, akamwambia 'Nassib funua iyo vesti', akavuta penso ya Nassib kama anachungulia kidole mle ndani afu akasema , 'Kifesi please take a photo!'.

Ptuuu! Mwanamke kakosa haya yule jamani?Umenikumbusha ile picha!
 
Huyu wema ni pros...hebu angalia mzigo huo wa kichina uliobebwa na miwa

wema-2.jpg WEMA7.jpg
 
Kwendraaaaa! Wewe unavyomtukana wema hapo una dada kweli? Hata kama hauna huyo ni mwanamke pia.
Ungeonesha mfano kwanza ndio utuseme sie, mnafki mkubwa.

HALO HALOOOOOOO! HALO YA MAMA CHIBU NA DOGODOGO WAKE ALIYEOA!!

Tena usinichefue ipo siku nikichafukwa nitaweka picha zake chafu huku na huyo serengeti wake, ohooooo!

Etiii...alimtoa Wema mimba saba.
WEMA NAYE MTU.
Na hata kama alimtoa si ni privacy au sisi inatuhusu nini.
Zarina kujichua kwa Dildo ndio privacy?
Zarina kumcheat Katunzi ndio private?
Ila tumbo lake ambalo huwa analianika hadharani sio privatebila mimba ilivoingia ndio ptivate?
Ambavo huwa wanarusha mipicha yankunyegeshana sio private?
MAKUBWAAA.
DOUBLE STANDARDS.
Ali Kiba na nyumba ya kupanga sio private?
Watoto wa Ali sio private?
Ali kiba naye mzazi ujueee
 
Mkuu kama tunaongelea mimba.....hasa jinsi ilivyoingia.....sio public

Ila kama wewe ulikua pale kwenye mashavu ya nanihii ya Zari wakati Dimond anatupia vitu hapo sawa u can comment

Lakini bila hivyo...acheni u pros kama wa wema[/QUOTE

heeee we nae kwani hujui kusoma Kiswahili.....ushaambiwa sio ya ndomo....sasa ningekuweko vp wkt ashadungwa kwingineko...hata data za mtoto kakaaje tumboni pia tutadiscuss kama data zipo...we name wema kakukaa kinywani..Cmjui unamzimia half unaleta sizitaki Mbichi hizi...ya wema hayanihusu discuss kilichoko mezani

aliekwambia ni nani? alikwepo kwenye mashavu ya k wakati huyo mwingizaji anaweka?
 
Hahaaaaa keep on guessing umejuaje sie mashabiki wa Wema we we ndo una akili eeeeh. Kwanza hii topic haimuhusu Wema kila mahali una mtaja unaonyesha ni jinsi gani anakuumiza eeeh. We we mwenye akili ya tofauti mbona umemtaja Wema Yale Yale nothing new😱😱😱

Hapo sasa, huyo wema hamtoki akilini sijui alimnyima nini.
Thread haimhusu lakini kakazana na wema, wema.
Halafu huyu mgeni sijui? Tokea lini sisi tukawa mashabiki wa wema?
Umbea una wenyewe bwana, kudandia gari kwa mbele tu.
 
Na watuache bwana, sasa hivi habari ya mujini ni mama chibu na serengeti wake sio mtoto na jimama lake.
Hatariiii hiyo, mama na mtoto wanapishana kwa kick mjini hapa.

Hyo ndo habari ya mjini ya mama na Serengeti boy ake ama kweli wonders shall never end indeed. Huyu jimama hana issue atafta kiki nyingine ile ilikua ya white party.
Sasa naona na mama MTU wanapishana na mwanae kwenye Ku make headlines.
 
Sasa Katunzi mnataka ndoa yake ivunjike ili iweje, udaku huu ingekua amelala nae au kutoka nae basi mimba hiyo ingekuwa na mawiki zaidi ya hamsini sababu zile picha walipiga na dada ake Zari na shemeji na niece na Sintah siku hiyo.

Hamna kingine maneno tu kumchafua picha za wao mahaba teletele ndani ya SA zinawamaliza watu.

Mwacheni Katunzi na ndoa yake, au mnataka W amfate maana kila atajwaye kupitia Zari na w huyooooo

Mwacheni Zari na heshima zake


Mkuu Tatizo lao hawataki kukubali kuwa Zari ni Mwanamke mwenye akili........

Wao wanamshabikia Pros maarufu wa Afrika mashariki na kati

Wakati zari ni mjasiriamali mwenye akili...amewaonesha kwenye white party
 
Mkuu Kimbley kuna chokoraa huyu hapa.
Wema hatumtukani ndiyo sifa yake kuu
Hivi wewe hata huoni haya ....kumsuport mburula kama wema?
Mi ningekuwa na dada kama wema ningemtoa msaada tu akatumike kwa watoto yatima kwa kumchezea

So Wema is less of a person?
Ila Wewe una utani na viumbe wa maulana.
Cc: Mrembo by Nature, Avemaria.
 
Last edited by a moderator:
Sio lazima uweke wewe bwana.
Wengine sie wabudha hatuna mwezi mtukufu, yote mitukufu naomba mie basiii

Lakini bado chanzo kitakua mimi tu dear, pls nikirudi nitakurushia tu usijali.Tuombe uzima tu.
 
Hahaaaaa keep on guessing umejuaje sie mashabiki wa Wema we we ndo una akili eeeeh. Kwanza hii topic haimuhusu Wema kila mahali una mtaja unaonyesha ni jinsi gani anakuumiza eeeh. We we mwenye akili ya tofauti mbona umemtaja Wema Yale Yale nothing new😱😱😱


Hhaahhahahahaha...my Godness....Wema ndiye boss wenu...who doesnt know....

Mtu anaenda kuuza anakuja kuwalipa nyie
 
Shoga ebu fanya kuniungaa....mtoto kwakweli hajafanana na dancer sijui ile sura ni ya nani.
Sema ujue nini ukimbeba kidogo tuu unaambiwa haya mweke kwenye kitanda chake kweli mama cookie ni shida hataki mtoto akaguliwe.
Na sijui kama atapostiwa sura yake ivi karibuni looh wanakangoja kakue kue sura ieleweke

pale mbona iyobo kaingia chaka bovuuuu
hilo liko waziiii
 
Back
Top Bottom