Unajuaje kuwa hayupo?
Koh koh koh...utasutwa shoga wewe
Unataka ushahidi gani mkuu ?
Wewe elewa hilo....nimemtoa mimba saba.
Au unataka nikuletee damu tulizozitoa?
Ivi....vimisemo vingine haviwapendezi wanaume.
Malimao ale Zarina alogonganisha mabwana mpaka sie wambeya tumejikuta katika hali ngumu kuelewa DNA ya kujua mtoto ni wa kike ilifanyikaje fanyikaje na kwa teknolojia ipiii...dna na jinsia kaah
ohoooo!!hukuipataga hiyo,beki tatu kabisaaa,alimletea shida huyo beki tatu we acha tu,sema sie wengine hatupendi kuandika privacy za mtu,tunayajua sana tu sema tunakausha
Hahahaha, uliziifadhi kwenye chupa gani.
Diamond siyo kuwa hakuwa hajui alikuwa ana make headline halafu awapige hela kwenye ile whitepart!
![]()
Kwani unapoweka picha yako ya uchi mtandaoni unategemea watu wasiijadili? Ndo sawa na hao wameiweka picha ya mimba kwa sie public tuijadili...... Privacy iko chumbani kwao ... Na pis wakiweka wanavyodinyana pia tuwadiscuss... Hawataki maneno ha watu basi wabakinazo kwenye visimu au camera zao..... Ila kaa ukijua wenzio wanapenda hii publicity wewe tu ndo kinakusokonyola
Halo haloooooo! Halo ya mama chibu kulilia muhogo wa jang'ombe wa dogodogo!
Hahahahahaaa
Mmeona watoto hawatoshi mmeanza kuwafata mama za watu?
Hivi nyie watu mna wazazi kweli?
Mbona kama ni machokoraa nyie?
Nyie mnadhani hata kama hiyo mimba sio yake atasema? Hiyo inaitwa KUFA KIUME!
Kwahiyo wambea tutasubiri sana...
Jamani yanayofanywa hadharani acha yajadiliwe hadharani.Huo mtumbo wa zari kila siku unarushwa kwenye mitandao lazima watu wamjadili akitaka uprivacy atulizane wanaomjadili hawakosei.Hata wanaojadili mimba ni ya domo au katunzi hawakosei wahusika ndo wameruhusu hilo.baba k na mama k.
Kwendraaaaa! Wewe unavyomtukana wema hapo una dada kweli? Hata kama hauna huyo ni mwanamke pia.
Ungeonesha mfano kwanza ndio utuseme sie, mnafki mkubwa.
HALO HALOOOOOOO! HALO YA MAMA CHIBU NA DOGODOGO WAKE ALIYEOA!!
Tena usinichefue ipo siku nikichafukwa nitaweka picha zake chafu huku na huyo serengeti wake, ohooooo!
Hahahahaaaa, chezea professional gold digger wewe?
Zari ni balaa yule mwanamke.
ziweke Bana sie tufaidiiii alaaaa
Hawezi kukiri hadharani ili aibike ataumia tu moyoni ili kuonyesha na yeye ana weza kuwa na mtoto.
Hata uwe na roho gani mwanaume uwe unaskia mimba ni ya jemba lingine lazma uumie kwa sana tu.
Kamshika chibu wa watu masikio. Yule sio mjinga kujibana mahali ukafikiri ana upendo alimwacha mumewe waliozaa watoto watatu sembuse kwa kijana. Zari yuko after something na akikipata atasepa tu huyu. Ka ni kweli kamshika masikio chibu huyu ni international gold digger anayetumia ujanja wa hali ya juu.