Kimbley
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 3,050
- 2,104
Well am glad.
Ila haiondoi ukweli kuwa Wema naye ni binadamu ana ubongo kama mimi.
Amefanikiwa kufungua kampuni yake binafsi,
Ana vitega uchumi na miradi mingi ambayo soon ataitangaza,
Aliweza kuyashinda mazingaombwe ya Nassin aliezika kondoo mzima.
ahahhahahaaaa!!vitega uchumi........
...........................no network!
miradi mingiii..............loading failed!!
kampuni yake.....................43%!
oophhhh!mama ubaya kiboko