Kumbe mimba ya Zari si ya Diamond

Kumbe mimba ya Zari si ya Diamond

Naona wanataka tuje na ushahidi wa uchafu wa Zari.
Zari namkubali ila kahaba.
Anaitwa UN summit so hapo ngoma droo.

Ndo nashangaa hilo hawalioni. Kwa wengine ndo wanaliona. Tena huyu bibie zari ni mzuri ila hatulii pamoja na kuwa na watoto hakitulizi. Ndo hasara za kuvuka stage moja hyo.
 
Mkuu Tatizo lao hawataki kukubali kuwa Zari ni Mwanamke mwenye akili........

Wao wanamshabikia Pros maarufu wa Afrika mashariki na kati

Wakati zari ni mjasiriamali mwenye akili...amewaonesha kwenye white party

MUNGU hakupi vyote
kampa akili ya kutafuta na umalaya juuuuu
 
sihitaji kukujua physically....the way you are writting tells alot about You...You are easilly predictable

Kwendraaaa, hongera mnajimu wa kusoma miandiko ya watu.
Kaungane na mtoto wa Sheikh Yahya basi? Hunijui na wala huwezi kunijua acha kujipaisha karatasi wewe usione upepo nawe huyo.
 
Atleast ni malaya mwenye kiwango sio kama wema jamani kina mr blue, munyama mmh cheki hata kalulu ni ka malaya lakini kako classic

Malaya ni Malaya tu awe wa kona bar uwanja wa fisi wa internatinal wote, jina ni moja wauzaji basi hayo mengine huwa maneno ya kujifariji tu.
 
Ndo nashangaa hilo hawalioni. Kwa wengine ndo wanaliona. Tena huyu bibie zari ni mzuri ila hatulii pamoja na kuwa na watoto hakitulizi. Ndo hasara za kuvuka stage moja hyo.

Sio siri, Zarina ametisha
 
hv unajua anko ashammimbaga b.mkubwa ila akachomoa kibendiii kuogopa nomaaaaa

Aisee huyu bi mkubwa kumbe ni hatari aisee. Si angezaa tu hafu wafanye siri ukute kuchomoa ndiko kuliko mletea matatizo.
Jamani Salehe murudie tu mama anakupenda kweli hadi Alisha kichomoa kibendi chako.
 
hv unajua anko ashammimbaga b.mkubwa ila akachomoa kibendiii kuogopa nomaaaaa

Uwiiiiiii! Uncle Saleh aliuliwa kiumbe chake? Masikini isijekua ndio maana alienda zake kuoa baada ya kuona hakuna future na umri unaenda!
 
Alhamdulillah nimeweza kujizuia kutokuandika nilichotaka kuandika!
Hakika Mungu ni mkubwa!

Hahahahahaha...andika tu.....Kwani for average...You are so predictable on what you would have written
 
Wewe ni tapeli kabisa.

Kama yule anayemiliki nyumba ya Sh Mil 400?

Yule atakayefungua duka kubwa South Africa?

Hahahahaha...Jamani msiwe mnashikiwa akili hivi

Tena mnashikiwa akili na Oeeeeeee

Na gagagudu?
 
Hahahahahaha...andika tu.....Kwani for average...You are so predictable on what you would have written

Wewe kama nani wa kuniambia niandike? Wewe ndio uliniambia niache?
Unataka unilengeshe nipigwe ban mfurahi eeh? Hahahahaaa ngashtuka mazee, hunipati kwahilo jaribu kwingine.
 
Back
Top Bottom