Kumbe Marehemu Ndugai Alikuwa na Wake Wawili?

Kumbe Marehemu Ndugai Alikuwa na Wake Wawili?

evangelical

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2011
Posts
5,970
Reaction score
9,898
Kuna mama amejitambulisha yeye ndiye mke halali wa marehemu ndugai tena walifunga ndoa ya kanisani. Anaitwa Stella Mmasi ,halafu kuna Dr fatma Mganga

Halafu moderators acheni dictatorship ya kuondoaondoa nyuzi zangu
=================
Stella Mmasy, mke wa aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai amefunguka kuhusu kifo cha mumewe na taratibu za mazishi zinavyoendelea.

Screenshot_20250807_210641_Instagram.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20250807_210851_Facebook.jpg
    Screenshot_20250807_210851_Facebook.jpg
    274.1 KB · Views: 20
Kuna kifungu kwenye bible kinachosema ukiwa na mke zaidi ya mmoja ni dhambi?
Kwa taratibu za kikanisa mke ni mmoja tu mke wake wa kanisnai ni huyo stela,huyu dr mganga walikuwa wanazini

Kutoka 20:14: "Usizini." Ukifanya hivyo, unavunja ahadi uliyotoa mbele ya Mungu kuwa mwaminifu kwa mwenzi wako wa ndoa.
 
Kwa sisi Waafrika si jambo la ajabu. Cha msingi familia inajua mke rasmi nani, wengine mtulie
Ni ajabu kwa kweli tunachukulia poa tu ila haya mambo yanaleta mitafaruku kwenye mambo ya Marathi mmoja wapo akifariki.
Nina ushuhuda wa mzee mmoja alipovuta aliibuka mwanamke ambaye kumbe alikuwa na ndoa ya kanisa na marehemu,
Kwenye mstakabali wa kisheria hususani sheria za Marathi hili suala linawezaleta utata.
Wewe mwanaume mkristo unafunga ndoa ya kikristo na mwanamke halafu unamtekeleza kienyeji bila talaka, unatafuta.mwanamke.mwingine mnaishi mnajenga maisha watu wasiokuja zamani wanajua huyo ndio mke wako.
Mnakuwa na mali mwanamke anamuamini mume wake anamuachiq anaandikisha mali kwa jina lake.
Mwanume huyo akifa yule mwanamke mkristo aliyeachwa kienyeji anakuja kuibuka hapo anadai mali zote.zenye jina la huyo mwanaume kwani yeye ana cheti cha ndoa cha kanisani na anapewa wakati hata hakushiriki kuzichuma.
Hili suala msilichukulie kirahisi linaweza leta.utata mkubwa sana .

Kula mbususu mbalimbali hata ikiwezekana kuzaa na wanawake mbalimbali inakubalika ila kwenye kuoa kiholela kwa wakristu ni hatari.

Tatizo watu wanachukulia sifa kuwa na wanawake wengi (mitala) hili suala kisheria halina shida sana kwa waislamu kwani uislamu unaruhusu ndoa zaidi ya moja.
Ila ukristu hairuhusu na hata sheria ya ndoa ya tanzania inatambua msimamo huo wa kanisa
. Ukishafunga ndoa ya kanisani ni suala moja nyeti sana ukizamiria kumuacha huyo mwanamke jitahidi umpe talaka rasmi mahakamani la sivyo anaweza kuja kuibuka wakati umekufa akaleta.mtafaruku
 
Ni ajabu kwa kweli tunachukulia poa tu ila haya mambo yanaleta mitafaruku kwenye mambo ya Marathi mmoja wapo akifariki.
Nina ushuhuda wa mzee mmoja alipovuta aliibuka mwanamke ambaye kumbe alikuwa na ndoa ya kanisa na marehemu,
Kwenye mstakabali wa kisheria hususani sheria za Marathi hili suala linawezaletq utata.
Wewe mwanaume mkristo unafunga ndoa ya kikristo na mwanamke halafu unamtekeleza kienyeji bila talaka, unatafuta.mwanamke.mwingine let say muislamu mnachukuana mnaishi mnajenga maisha mnakuwa na mali mwanume huyo alifa yule mwanamke mkristo aliyeachwa kienyeji anakuja kuibuka hapo anaweza leta.utata mkubwa sana .
Tatizo watu wanachukulia sifa kuwa na wanawake wengi (mitala) hili suala kisheria halina shida sana kwa waislamu. Ukishafunga ndoa ya kanisani ni suala moja nyeti sana ukizamiria kumuacha huyo mwanamke jitahidi umpe talaka rasmi mahakamani la sivyo anaweza kuja kuibuka wakati umekufa akaleta.mtafaruku
Unamuonea wivu kidume kuwa na wanawake wengi, unafikirisha sana
 
Ni ajabu kwa kweli tunachukulia poa tu ila haya mambo yanaleta mitafaruku kwenye mambo ya Marathi mmoja wapo akifariki.
Nina ushuhuda wa mzee mmoja alipovuta aliibuka mwanamke ambaye kumbe alikuwa na ndoa ya kanisa na marehemu,
Kwenye mstakabali wa kisheria hususani sheria za Marathi hili suala linawezaletq utata.
Wewe mwanaume mkristo unafunga ndoa ya kikristo na mwanamke halafu unamtekeleza kienyeji bila talaka, unatafuta.mwanamke.mwingine let say muislamu mnachukuana mnaishi mnajenga maisha mnakuwa na mali mwanume huyo alifa yule mwanamke mkristo aliyeachwa kienyeji anakuja kuibuka hapo anaweza leta.utata mkubwa sana .
Tatizo watu wanachukulia sifa kuwa na wanawake wengi (mitala) hili suala kisheria halina shida sana kwa waislamu. Ukishafunga ndoa ya kanisani ni suala moja nyeti sana ukizamiria kumuacha huyo mwanamke jitahidi umpe talaka rasmi mahakamani la sivyo anaweza kuja kuibuka wakati umekufa akaleta.mtafaruku
Ubinafsi ndio unaleta mtafaruku.
 
Kwa taratibu za kikanisa mke ni mmoja tu mke wake wa kanisnai ni huyo stela,huyu dr mganga walikuwa wanazini

Kutoka 20:14: "Usizini." Ukifanya hivyo, unavunja ahadi uliyotoa mbele ya Mungu kuwa mwaminifu kwa mwenzi wako wa ndoa.
Huyo Mungu baki nae wewe.

Ndugai zake wanawake Mungu kakuachia wewe
 
Back
Top Bottom