kumbe hata wanachama wa cameroon wana wake...Huyo wa pembeni ndio mkewe? Mtoto wa lowassa?
Sasa kutoboa sikio ni kitu cha ajabu sana jamani? Na kutoboa sikio kuna uhusiano gani na uwezo wa mtu kuongoza?
Tuache siasa za maji taka.
Kama tunapingana na mtu tumpinge kwa nguvu ya hoja na sio kwa hoja ya nguvu.
Kama ndio hivyo msimlaumu David Cameron.Siasa uchwara hizi tuachane nazo, sioni tatizo kwa binadamu yeyote kwa hiyari yake akiamuwa kutoboa sikio lake mwenyewe. hapa hakuna point.
Arudi tu Marekani sisi wameru hatumtaki kabisa.
haieleweki nini hapo kweli wewe kilaza kasema wao wameru hawamtaki!we na nani??!