Usidhani humu watu wote ni vipofu kama wewe, watu huru chupa huwa wanaita chupa na pie we call a pie, nadhani ni fursa nzuri kwako hapa ujifunze namna ya kuchambuwa mambo badala ya kuwa Domo bwabwaja, binafsi siwezi kuipigia kura CCM over my dead body, lakini bado siwezi kukubali mgombea wa CCM achafuliwe kwa vitu ambavyo ni too personal.Magwanda huwa wanafurahisha sana, wanapokosa sababu, inafikia mpaka wanaleta sababu za siasa uchwara mpaka wanaanza kulumbana wenyewe kwa wenyewe.
Mimi siipendi CCM hata kuisikia lakini vile vile si muumini wa siasa uchwara, sioni tatizo kwa mgombea wa CCM kutoboa sikio.
Huyu hapa ndiyo mwanasheria mkuu wa Kenya na mambo mswano tu.
hata aktobo pua,mwili c wake
Your age please!Mie sioni tatizo, ila angevaa hereni hapo ni kitu kingine, kwa hapo alivyo you can hardly see anything.
Mkuu kosa la mtu wa pili halifuti lile la mtu wa kwanza, kwa kuwa kenya wamefanya kosa basi nawe ulifanye?
Look here, kutoboa sikio kwa ajili ya heleni,kusuka nywele, kusokota rasta and the like kwa mwanaume ni kinyume cha maadili ya kitanzania na ktk uislam (sijuwi dini zingine) hayo ni mambo wapasayo kufanya wanawake ndiyo maana jamaa akalileta hapa, huyu anakaribia kuwa kiongozi ambaye pamoja na majukumu mengine ni kukemea ukiukaji huo wa maadili, hakupaswa yeye kutangulia kufanya alivyofanya, hiyo ndiyo point hapa.Sina mpango wa kumfanya asishinde, kwa kuwa tunao viongozi wengi wa aina hiyo ambao wamewekwa na nyie mlio kama wao na ndiyo waliotufikisha hapa tulipo.Ila muikamate hiyo point.
Napata shida kujuwa umri wenu nyie mnaosapoti suala hili.
Pitia kwa makini post yangu # 42, sina muda wa kupoteza hapa kwenye hizi hoja nyepesi, nawahi kule kwenye press conference ya muuwaji Benjamini Mkapa.
Pitia kwa makini post yangu # 42, sina muda wa kupoteza hapa kwenye hizi hoja nyepesi, nawahi kule kwenye press conference ya muuwaji Benjamini Mkapa.
Hizi ni dalili kwamba hadi 2015 mashoga wataanza kutetewa rasmi bungeni
Mkuu, heleni ni kwa wanawake tu. Utaratibu wa wanaume kuwa na heleni moja ulianza marekani kwa ajili ya kuwatambua mashoga hapo awali, So, usilazimishe jamii i change ktk mambo ya kijinga, tuige mambo ya msingi kutoka huko south unakosema siyo heleni.Eleni ni kama kikuku kwa mawana mama mguuni,sio uhuni ila watanganyika bado tunamapokeo ya ujima.na ndio tatizo,mfano south afrika kutoboa sikio ni jambo la kawaida na akuna ajabu.naona wakati umefika we need to change na mitazamo ambayo inakizana na usemi kuwa sio kila mzungu ni padre.
Pamoja na umagamba nimeipenda hii ya Pamela Kupanda jukwaani kumnadi mumewe! Mi nimeipendaHe has a very cute wife..safi kaka.
Kwanza kabisa hakuna thread # 42 bali ni post # 42, nadhani ifikie wakati tukubali kutokukubaliana, kama wewe ni mtu wa maadili ya Kitanzania kweli ni kwa nini usivae ngozi za wanyama na magome ya miti?Thread yako #42 ni more than pointless, u better delete it lad, utakubali vp uige utaratibu wa ovyo ambao unajuwa kabisa siku ukirudi kwenu utaonekana ni hopeless kisa tu eti unataka ufanane nao? siyo akili ni matope hayo! kwa hiyo wewe ukienda kuishi marekani kwe jimbo ambalo kuna mashost wengi nawe utajiunga nao na ukirudi bongo watu wukuone ni wa kawida tu kwa wewe kuwa Maharagwe/punga?
Yaani ni sawa na mwanaume kuvaa skert halafu tumsifie, acheni hizo si kawaida ya watanzania hiyo, mtu avae skert tuite msuli? ccm mmechemka mnamuweka mvuta bangi!
Kwanza kabisa hakuna thread # 42 bali ni post # 42, nadhani ifikie wakati tukubali kutokukubaliana, kama wewe ni mtu wa maadili ya Kitanzania kweli ni kwa nini usivae ngozi za wanyama na magome ya miti?
Hivi sisi tuna utamaduni wa kuvaa suti? kwa nini unatumia nguvu nyingi kulazimisha watu waamini kile ambacho unataka wewe?
Kuwa shoga sio swala la hereni ni swala la kihomoni zaidi na hili siwezi kuliongelea kwa sababu wapo wataalam wenye uwezo wa kuliongelea hili kisayansi, shoga anaweza akawa ni mvaa suti kila siku na bado akawa analiwa na wanaume wenzake, cha msingi hapa unachokikubali wewe si lazima na mimi nikikubali.
Mwisho ningekuonya watch ur mounth kama unataka kufanya critically arguments, mimi nina umahili wa kukujeli kwa kila aina ya maneno, kwahiyo pls do not underestimate me, usije kusema i didn't warn u!
Mkuu Matola point hapo ipo tena kubwa tuu, watu wanaotoga masikio ni wa aina gani katika jamii, je tunakubaliana na hiyo culture!!!!!!!!!!!!
tatizo lipo wapi kama ametoboa sikio?