Ndiyo, wa hivyo huitwa bisexualkumbe hata wanachama wa cameroon wana wake...
Ndiyo, wa hivyo huitwa bisexualkumbe hata wanachama wa cameroon wana wake...
Hivi SUGU hajatoboa sikio?Vp kuhusu cheni anazovaa?Mimi naona hilo si tatizo na halihusiani na uwezo wa mtu kuwa kiongozi!Hebu vyama vianze kushindana kwa hoja na si kupaka matope!!
swadaktaaaaaaaaana huyo ndiye mke wake au??
mia kwa miahuyo wa pembeni ndo mkewe au, maana kafanana na lowasa
yaa tuschane nayo kwa sababu CCM ndio zao si unamkumbuka SISCO?Unamaanisha imeletwa na chama?mkuu hayo yakutoboa sikio tusiyachanganye na issue ya siasa meru.japo tunachagua kiongozi bora si bora kiongoz.na kiongoz bora lazima kwanza tuanze kuangalia maadili pamoja na uwezo wakuongoza.endapo tukiwa na viongoz wa ainahii wakawa 75 % serikalini cameroon anaingia kilaini kabisa.huu sio utamaduni wetu pamoja na ukweli kua anauhuru binafs kisheria
Siasa uchwara hizi tuachane nazo, sioni tatizo kwa binadamu yeyote kwa hiyari yake akiamuwa kutoboa sikio lake mwenyewe. hapa hakuna point.
Ndio ni kweli katoboa sikio
Mkuu Matola point hapo ipo tena kubwa tuu, watu wanaotoga masikio ni wa aina gani katika jamii, je tunakubaliana na hiyo culture!!!!!!!!!!!!Siasa uchwara hizi tuachane nazo, sioni tatizo kwa binadamu yeyote kwa hiyari yake akiamuwa kutoboa sikio lake mwenyewe. hapa hakuna point.
Yaani ni sawa na mwanaume kuvaa skert halafu tumsifie, acheni hizo si kawaida ya watanzania hiyo, mtu avae skert tuite msuli? ccm mmechemka mnamuweka mvuta bangi!
huyo wa pembeni ndo mkewe au, maana kafanana na lowasa
Umenifurahisha sana hapo!!Siasa uchwara hizi tuachane nazo, sioni tatizo kwa binadamu yeyote kwa hiyari yake akiamuwa kutoboa sikio lake mwenyewe. hapa hakuna point.
Kutoboa sikio kitu gani bana.........mbona nanihii yule mbunge wa kuewa yule anyeimbaimba nyimbo za ajabuajabu...yaa tuschane nayo kwa sababu CCM ndio zao si unamkumbuka SISCO?
nasikia amekaa sana uk kwa mzee cameroon....