Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,547
- 88,538
Mkuu mbona wapo wanaume ambao wanaacha wanawake kwa sababu fulani fulani? Hayo yapo kwa jinsia zote msiegemee kwa jinsi moja tu
Unawazungumziaje na wale wanawake wanaoacha wanaume kisa ni maskini, kisa ana uume mdogo, kisa ana uume mkubwa, kisa ni mfupi, kisa ni mnene, kisa ni mwembamba, kisa hafanyi kazi benki, kisa yuko dini tofaut na yeye, ..na umbembeleze mwanamke wa nini anayekuona mavi kunuka mbele yako