Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,311
- 46,810
Aisee nilikuwa nawashangaa wale ambao wanalia kuhusu mapenzi,wale ambao wameachwa,au wametendwa in one way or another..Nikawa najisemea ni ujinga kuumia au kulia lia kisa kuachwa au kutendwa,au kupoteza uhusiano na mtu umpendaye kwa sababu mbalimbali..
Kumbe bhana haya mambo yanatokea tu automatically unajikuta upo kwenye hali hiyo..
Kuna mtoto mmoja mzuri ambaye kimsingi alinivutia,so nikamtokea na kwa kiasi fulani nikamwin..mazingira niliyompata na tuliyoendelea kuwa nayo hayakunipa nafasi ya kuwajua ndugu au rafiki zake kiundani..
Sasa bhana from nowhere mtoto akawa hapatikani kwenye simu,miezi ikapita,mwaka n.k
Jana from nowhere nikakutana na mtu ambaye ambaye alinitambulisha kuwa ni rafiki yake,so ikabidi nimgusie kuhusu huyu mtoto,akanipa no zake ambazo anapatikana
Usiku nikamcheki nini,na ikabidi nimuulize what went wrong??,akawa kama tu anajiuma uma hivi..mwishoni akaniambia yupo kwenye serious relationship for the meantime kwahiyo hatuwezi kurenew uhusiano wetu..Daah niliumia kinoma
Nahisi pia nimeumia kwa sababu kwanza huyu mtoto alikuwa na vigezo vyote vya mtu nimtakaye..wanawake wako wengi lakini ni kazi kumpata yule unaye-mpicture kwenye akili yako japo hata kwa asilimia 65 tu..
Anyway ndo maisha..siku nzima akili haipo sawa,hadi saivi 00:57 nipo macho,I can't believe that..Kwa swala hili ambalo kwa wengine linaweza kuwa la kawaida ila kwangu mimi limenipa wakati mgumu..
Lets call it LOVE
Kumbe bhana haya mambo yanatokea tu automatically unajikuta upo kwenye hali hiyo..
Kuna mtoto mmoja mzuri ambaye kimsingi alinivutia,so nikamtokea na kwa kiasi fulani nikamwin..mazingira niliyompata na tuliyoendelea kuwa nayo hayakunipa nafasi ya kuwajua ndugu au rafiki zake kiundani..
Sasa bhana from nowhere mtoto akawa hapatikani kwenye simu,miezi ikapita,mwaka n.k
Jana from nowhere nikakutana na mtu ambaye ambaye alinitambulisha kuwa ni rafiki yake,so ikabidi nimgusie kuhusu huyu mtoto,akanipa no zake ambazo anapatikana
Usiku nikamcheki nini,na ikabidi nimuulize what went wrong??,akawa kama tu anajiuma uma hivi..mwishoni akaniambia yupo kwenye serious relationship for the meantime kwahiyo hatuwezi kurenew uhusiano wetu..Daah niliumia kinoma
Nahisi pia nimeumia kwa sababu kwanza huyu mtoto alikuwa na vigezo vyote vya mtu nimtakaye..wanawake wako wengi lakini ni kazi kumpata yule unaye-mpicture kwenye akili yako japo hata kwa asilimia 65 tu..
Anyway ndo maisha..siku nzima akili haipo sawa,hadi saivi 00:57 nipo macho,I can't believe that..Kwa swala hili ambalo kwa wengine linaweza kuwa la kawaida ila kwangu mimi limenipa wakati mgumu..
Lets call it LOVE