Kumbe Kweli Mapenzi Yanaumiza

Kumbe Kweli Mapenzi Yanaumiza

Brathaaa tafuta pesa haya mengine ni ushwain tu, yes kuna wanawake wengine ni shwain tu, tafuta pesa kimya kimya, zikiwa nyingi, piga kimya, then am sure kabisa kuna mwanamke ktk maisha yako na naamin sio mpenzi au kama ndie ulikua na haumuoneshi usirias wowote, huyo mwanamke amekua karibu yako kwa nyakat nyingi na zaidi hata nyakat za shida, ila ulikua unapotezea, embu ukishazikamata pesa, embu mtafute huyo mwanamke umuoe, then muanze kuyafurahia mapenzi.
Nimemaliza
 
Mapenzi hayana baunsa ukiona mwanaume anajitutumua humu kuwa hawezi kubembeleza mwanamke au hawezi kulilia papuchi moja kisa zipo nyingi basi ujue huyo hajawahi kupenda halafu kinachonishangaza wanaume wa siku hizi hawana mapenzi kwa wanawake zao ila wanataka wanawake zao wawe na utii kwao hata maandiko yanasema mwanaume ampende mkewe na mwanamke amtii mumewe

Sasa unakuta mwanaume hampendi mkewe au mpenzi wake ila anataka huyo mkewe au mpenzi wake amtii yaani dunia imebadilika sana siku hizi wanaume wengi wamekuwa wakatili kwa jina la tamaduni za kiafrika na ndo hawa tunaowasikia na kauli zao hizi za "tunapiga na kusepa" au "tunazalisha na kuacha" yaani imefikia hatua badala ya kutafuta suluhisho la kupunguza maovu tunatafuta mshindi nani kati ya mwanaume au mwanamke ajabu sana
Unawazungumziaje na wale wanawake wanaoacha wanaume kisa ni maskini, kisa ana uume mdogo, kisa ana uume mkubwa, kisa ni mfupi, kisa ni mnene, kisa ni mwembamba, kisa hafanyi kazi benki, kisa yuko dini tofaut na yeye, ..na umbembeleze mwanamke wa nini anayekuona mavi kunuka mbele yako
 
ohooo mkuu ubaya wa mapenzi ni tunaamini ya kwamba our life is half life na half nyingine anayo mtu sasa ikija wakati mtu anakuacha ndio maumivu yanazidi ila tungelijua maisha yetu ni full life ingekuwa poa sana
 
Hivi ni kweli wewe umetumwa kufanya moyo uwe na matoobo.
Nami nilipokukabidhi moyo wangu kumbe wewe kasoroobo.
Ona umeniacha hoii, namimi kwako niko hoi mamaa! - Meja kunta.( Haloo )
 
Dah.Noma.Miaka yangu yoote kwenye dunia hii mpaka nimeoa na mm nimekua na mtazamo huo kama uliokua nao..inakuaje mktu ulie lie hivyo kisa mapenzi??
Bwana wee..Muda huu niko kwe ye mgogoro mkubwa sana na moyo wangu maana kuna mahal unataka kunipeleka na naona kama ushafika kabisaa ila kinachonisaidia hapa ni nafsi tu bado iko ngangari na akil ziko mahali pake .Huu mgogoro wa binafsi wa ndani kwa ndani umeanza kama week 2 zimepita nikiw kanda ya ziwa.
I hope sitafika hatua uliofika ww.ila kupenda ni kitu cha kipumbavu sana.
Maana mwenyew najiukiza hiw come nimeanza kumpenda mtu ghafla namna hii wakat nina mke na watoto wananijal na kuniheshim ..how come???? Ni kujiendekeza au ndio ndumba hiz za mapenz zinataka kunitoa kwenye line??
niko makin ku observe haka kamgogoro kangu kati ya MOYO vs Nafsi&akili niona nan atashinda....
 
Unatufelisha mabaharia.wacha kulia lia.
Aisee nilikuwa nawashangaa wale ambao wanalia kuhusu mapenzi,wale ambao wameachwa,au wametendwa in one way or another..Nikawa najisemea ni ujinga kuumia au kulia lia kisa kuachwa au kutendwa,au kupoteza uhusiano na mtu umpendaye kwa sababu mbalimbali..

Kumbe bhana haya mambo yanatokea tu automatically unajikuta upo kwenye hali hiyo..

Kuna mtoto mmoja mzuri ambaye kimsingi alinivutia,so nikamtokea na kwa kiasi fulani nikamwin..mazingira niliyompata na tuliyoendelea kuwa nayo hayakunipa nafasi ya kuwajua ndugu au rafiki zake kiundani..

Sasa bhana from nowhere mtoto akawa hapatikani kwenye simu,miezi ikapita,mwaka n.k

Jana from nowhere nikakutana na mtu ambaye ambaye alinitambulisha kuwa ni rafiki yake,so ikabidi nimgusie kuhusu huyu mtoto,akanipa no zake ambazo anapatikana

Usiku nikamcheki nini,na ikabidi nimuulize what went wrong??,akawa kama tu anajiuma uma hivi..mwishoni akaniambia yupo kwenye serious relationship for the meantime kwahiyo hatuwezi kurenew uhusiano wetu..Daah niliumia kinoma

Nahisi pia nimeumia kwa sababu kwanza huyu mtoto alikuwa na vigezo vyote vya mtu nimtakaye..wanawake wako wengi lakini ni kazi kumpata yule unaye-mpicture kwenye akili yako japo hata kwa asilimia 65 tu..

Anyway ndo maisha..siku nzima akili haipo sawa,hadi saivi 00:57 nipo macho,I can't believe that..Kwa swala hili ambalo kwa wengine linaweza kuwa la kawaida ila kwangu mimi limenipa wakati mgumu..

Lets call it LOVE
 
Mkuu usirudie tena huo udhaifu. Mwanamke hata ikipita tu mwezi mmoja bila mawasiliano kwa vyovyote vile ujue kuna baharia ameishajiongeza unless ni mke wako halali wa ndoa.
Pamoja mkuu..
 
Aisee nilikuwa nawashangaa wale ambao wanalia kuhusu mapenzi,wale ambao wameachwa,au wametendwa in one way or another..Nikawa najisemea ni ujinga kuumia au kulia lia kisa kuachwa au kutendwa,au kupoteza uhusiano na mtu umpendaye kwa sababu mbalimbali..

Kumbe bhana haya mambo yanatokea tu automatically unajikuta upo kwenye hali hiyo..

Kuna mtoto mmoja mzuri ambaye kimsingi alinivutia,so nikamtokea na kwa kiasi fulani nikamwin..mazingira niliyompata na tuliyoendelea kuwa nayo hayakunipa nafasi ya kuwajua ndugu au rafiki zake kiundani..

Sasa bhana from nowhere mtoto akawa hapatikani kwenye simu,miezi ikapita,mwaka n.k

Jana from nowhere nikakutana na mtu ambaye ambaye alinitambulisha kuwa ni rafiki yake,so ikabidi nimgusie kuhusu huyu mtoto,akanipa no zake ambazo anapatikana

Usiku nikamcheki nini,na ikabidi nimuulize what went wrong??,akawa kama tu anajiuma uma hivi..mwishoni akaniambia yupo kwenye serious relationship for the meantime kwahiyo hatuwezi kurenew uhusiano wetu..Daah niliumia kinoma

Nahisi pia nimeumia kwa sababu kwanza huyu mtoto alikuwa na vigezo vyote vya mtu nimtakaye..wanawake wako wengi lakini ni kazi kumpata yule unaye-mpicture kwenye akili yako japo hata kwa asilimia 65 tu..

Anyway ndo maisha..siku nzima akili haipo sawa,hadi saivi 00:57 nipo macho,I can't believe that..Kwa swala hili ambalo kwa wengine linaweza kuwa la kawaida ila kwangu mimi limenipa wakati mgumu..

Lets call it LOVE
Umetisha mkuu
 
Back
Top Bottom