Mkuu mbona wapo wanaume ambao wanaacha wanawake kwa sababu fulani fulani? Hayo yapo kwa jinsia zote msiegemee kwa jinsi moja tu
Hata mie nimeanza kuona kama wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naam...ni mzembe sana huyu[emoji23]
Umetisha naomba niwe mgeni wako pm Kama hautojaliEti nina ng'ombe wangu,
Eti wa kidumedume,
Eti akitaka kwenda,
Eti mbaka asukumwe,
Eti vijana wa sasa,
Eti wapenda masomo,
Eti kofia kichwani,
Eti zinawapendeza.
Una umri gani hadi yakukute haya leo wenzio tumezoea kawaida tuAcha kulia Lia mkuu. Totozi zipo za kumwaga