Kumbe Kweli Mapenzi Yanaumiza

Kumbe Kweli Mapenzi Yanaumiza

Mimi nakushauri kamroge tu,

Lakini kuna mchungaji mmoja kwenye kipindi cha mahusiano na ndoa alisema mwanamke kama akutaki achana nae hata kama ni mzuri vipi maana yupo wa kufanana na wewe, binafsi nilikua kama wewe nilikua napenda sana, but akili ilivyonijiaa nikawa nachukulia kila kitu sawa, nikimtext asipojibu sawa,nikawa hata simtafuti mpaka anitafute yeye,.mpaka akaanza kulalamika kwamba simpendi, boss hivi viumbe ukivipenda vitakufanya kitu amna
 
Ni kweli usemayo lakini ukumbuke nyinyi ndiyo mnasababisha tuwe hivi. Wanaume tunapenda mara moja na tukishaumizwa kwenye hiyo mara mmoja ni mwendo wa kula na kusepa.
Na tukipenda huwa tunakuwa kama ndege aliyemwagiwa maji na nyinyi ndiyo mnaona kama fursa ya kutupanda vichwani.
Mkuu umetisha sana ukweli mtupu mwanaume halisi analia mara moja ile ya kumaanisha kabisa baada ya hapo akiumizwa tena ni maumivu ya kawaida
 
Mtafute umchape pumbu kwanza alafu mengine mtaweka sawa,mapenzi yanaumiza yanapagawisha.
 
Mapenzi hayaumi.. Kulia lia kisa mapenzi uo ni umama
naijatwittersavages-20190701-0002.jpeg
 
Dah.Noma.Miaka yangu yoote kwenye dunia hii mpaka nimeoa na mm nimekua na mtazamo huo kama uliokua nao..inakuaje mktu ulie lie hivyo kisa mapenzi??
Bwana wee..Muda huu niko kwe ye mgogoro mkubwa sana na moyo wangu maana kuna mahal unataka kunipeleka na naona kama ushafika kabisaa ila kinachonisaidia hapa ni nafsi tu bado iko ngangari na akil ziko mahali pake .Huu mgogoro wa binafsi wa ndani kwa ndani umeanza kama week 2 zimepita nikiw kanda ya ziwa.
I hope sitafika hatua uliofika ww.ila kupenda ni kitu cha kipumbavu sana.
Maana mwenyew najiukiza hiw come nimeanza kumpenda mtu ghafla namna hii wakat nina mke na watoto wananijal na kuniheshim ..how come???? Ni kujiendekeza au ndio ndumba hiz za mapenz zinataka kunitoa kwenye line??
niko makin ku observe haka kamgogoro kangu kati ya MOYO vs Nafsi&akili niona nan atashinda....
Ahaaaaaaaa
 
Sasa kwanini ukiumizwa na mmoja udhani kwamba wanawake wote ndo wako hivyo?
Ni kweli usemayo lakini ukumbuke nyinyi ndiyo mnasababisha tuwe hivi. Wanaume tunapenda mara moja na tukishaumizwa kwenye hiyo mara mmoja ni mwendo wa kula na kusepa.
Na tukipenda huwa tunakuwa kama ndege aliyemwagiwa maji na nyinyi ndiyo mnaona kama fursa ya kutupanda vichwani.
 
Back
Top Bottom