BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 5,188
- 14,346
Katika hali ya kawaida nikitoka zangu mishe mishe napitia kwa mangi nanunua unga nusu kilo, dagaa wa buku na maji lita moja na nusu naenda kusonga ugali na dagaa wa mchuzi nikianza kula nahakikisha ugali, mboga na maji vyote vinakwisha na ndio nilivyozoea siku nikiwa na appetite ya kula nanunua unga robo tatu.
Sasa leo katika stori nikashare huu utaratibu wangu wa ulaji yaani kila mtu kabaki anastaajabu wengine hawaamini kama naweza kumaliza nusu kilo ya ugali eti labda ingekuwa robo wangeshawika kuamini.
Sasa kweli kumaliza nusu kilo ya ugali ni jambo la kushangaza wana jukwaa?
Sasa leo katika stori nikashare huu utaratibu wangu wa ulaji yaani kila mtu kabaki anastaajabu wengine hawaamini kama naweza kumaliza nusu kilo ya ugali eti labda ingekuwa robo wangeshawika kuamini.
Sasa kweli kumaliza nusu kilo ya ugali ni jambo la kushangaza wana jukwaa?