Kumbe kuhonga kuna raha yake

Kumbe kuhonga kuna raha yake

honga baba,..pesa unatafta mwenyew,..si kesi,..wanaume wote tunahonga,kila mwanaume ana degree yake ya kuhonga..kuna wanao honga pombe au vinywaj,hata soda ili kupata nafas flan,eitha ya kuanzisha maongez kama starter,..kuna wanaohonga ahadi mbalimbali ingawa wanajua hawatatekeleza,ni kumlubun tu mwanamke,kuna wanao honga zawad n.k,..kuna wanaohonga pip na bigi jii,chips yai,juisi,na kuna wanao honga elf50 had milioni,so inategemea na uwezo wako...jichunguze tuu lazma utaona kuna angle unahonga
 
Laki ni hela ndogo sana kwa hapa mjini, watu tunakuwa na mademu ijumaa jioni mpaka jmosi jioni kilo tano haipo na wala hatujatalii wala nini matumizi madogo madogo tu.

dondoo chumba tu hulipa elfu 80 kwa siku sasa nikitaja garama zote mpaka ktunamaliza weekend na kumpeleka shoping si utapeleka jina langu kwa dk slaa anitaje kwenye majukwaa kuwa mi fisadi.
 
uuuuupsi ivi wewe umeona laki ndooo pesa ya kuleta hapa tujajili ????
kwanza elewa mwanaum wa kweli hawaongi pesa bali wanaonesha action za upendo plus kumfanya mwanamke ajione like star 6*6 na pesa ya kuhonga sio laki jaribu kuhonga pesa ya maana kabla hajakuacha cos hujitambui bdo
 
Watu tunahonga ma Vx,ma BMW,na wala hata hatutangazi,we mwenzetu umechunwa kilaki kimoja tu na we unajiona umehonga?bila kukosea we utakua ni mwalimu wa shule ya msingi.
 
Wakuu habari zenu nimetokea kuvutiwa na kimwana mmoja ni mzuri hatari, nimejikuta nikichomoa hela laki moja bila kusita , wakuu naomba kuuliza hivi niko sawa kweli katika kufikisha hisia zangu kwa huyu dada kuwa nampenda,na pia huwa naona raha sana kumuonga huyu mrembo.
We endelea tu kujengea kumani, utajakumbuka shuka kumekucha!
 
honga baba,..pesa unatafta mwenyew,..si kesi,..wanaume wote tunahonga,kila mwanaume ana degree yake ya kuhonga..kuna wanao honga pombe au vinywaj,hata soda ili kupata nafas flan,eitha ya kuanzisha maongez kama starter,..kuna wanaohonga ahadi mbalimbali ingawa wanajua hawatatekeleza,ni kumlubun tu mwanamke,kuna wanao honga zawad n.k,..kuna wanaohonga pip na bigi jii,chips yai,juisi,na kuna wanao honga elf50 had milioni,so inategemea na uwezo wako...jichunguze tuu lazma utaona kuna angle unahonga
Jizungumzie nafsi yako, usiseme wanaume wote !
 
Wakuu habari zenu nimetokea kuvutiwa na kimwana mmoja ni mzuri hatari, nimejikuta nikichomoa hela laki moja bila kusita , wakuu naomba kuuliza hivi niko sawa kweli katika kufikisha hisia zangu kwa huyu dada kuwa nampenda,na pia huwa naona raha sana kumuonga huyu mrembo.
We endelea tu kujengea kumani, utajakumbuka shuka kumekucha!
 
Tumia pesa ikuzoee ukikosa jutia michepuko noma rudi njia kuu.
 
wazuri wengi kaka!! unaonesha ulivyokuwa mlimbukeni wa ngono .utaishia pabaya .jenga familia yako
 
Jamani mbona mwawaka hivyo huyu kimwana sio kwamba nataka nimchezee , nataka kumuingiza ndani jumla, huwa nijisikia furaha nikimuonga na binti kadisenti kiana fulani kwa kweli kananikosha lazima nitaendelea kukahonga hakuna hatakaye nizuia kwa ili wakuu.
 
Laki ni hela ndogo sana kwa hapa mjini, watu tunakuwa na mademu ijumaa jioni mpaka jmosi jioni kilo tano haipo na wala hatujatalii wala nini matumizi madogo madogo tu.

dondoo chumba tu hulipa elfu 80 kwa siku sasa nikitaja garama zote mpaka ktunamaliza weekend na kumpeleka shoping si utapeleka jina langu kwa dk slaa anitaje kwenye majukwaa kuwa mi fisadi.

Ivi umebakisha chenji rweyemamu?
 
Honga baba,,,,,,
raha ya mwanaume kuhonga!!!!!! hela unatafuta mwenyewe ya nn kujibana next tm ongeza kdg honga ifike laki5..
 
Back
Top Bottom