jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,602
- 3,781
Hovyooo kabisaa
Wakuu habari zenu nimetokea kuvutiwa na kimwana mmoja ni mzuri hatari, nimejikuta nikichomoa hela laki moja bila kusita , wakuu naomba kuuliza hivi niko sawa kweli katika kufikisha hisia zangu kwa huyu dada kuwa nampenda,na pia huwa naona raha sana kumuonga huyu mrembo.
wakuu habari zenu nimetokea kuvutiwa na kimwana mmoja ni mzuri hatari, nimejikuta nikichomoa hela laki moja bila kusita , wakuu naomba kuuliza hivi niko sawa kweli katika kufikisha hisia zangu kwa huyu dada kuwa nampenda,na pia huwa naona raha sana kumuonga huyu mrembo.
Laki moja umefungua thread,siku ukimkabidhi funguo za ka Vitz utaita waandishi paleeee MAELEZO!!!
Hivi mtu unaanzaje kuhonga?
Laki moja nayo hela ya kujisifu mtandaoni kua umehonga?LOL
Laki moja hela ndogo sana kusema umehonga, labda umempa hela ya credit tu. Jitahidi kuongeza kwa huyo kimwana
Laki moja umehonga mbona kidogo sana afu imekuwa kama imekuuma hadi umeona upunguzie machungu hapa MMU pole sana. hiyo ni hela ya saloon tu.
Tatizo vijana wa leo mnatongozea pesa badala ya maneno matamu, demu akizoea pesa kumbe pesa zenyewe za mawazo lazima akukimbie tu. Matokeo yake masela mitaani wanakula bure ee
Umesoma uzi wangu vizuri?na hayo maneno matamu asipoyapata atakimbia tu. kukimbiwa haina formula.
Hahahaaaaaaaa...Laki moja umefungua thread,siku ukimkabidhi funguo za ka Vitz utaita waandishi paleeee MAELEZO!!!