Kumbe kubeba mimba si mchezo!

Kumbe kubeba mimba si mchezo!

Mpende tu maana huwezi kuingia mwilini mwake
Pia msaidie kuandaa vitu asipate stress


List ya mahitaji kwa ajili ya kujifungua

PESA YA AKIBA narudia Tena pesa ya akiba
Khanga nzito pair 3-4 zilizolainika
Vitenge wax nzito pair 2-3 vilivyo lainika
Soksi pair 4
Kofia PC 4
Mpira wa kujifungulia
Mafuta ya mtoto
sabuni ya mtoto
Pedi zako (maternity pads au za kawaida)
Baby shoo
Nguo za mtoto (Kanyelamumo masweta suruali Tisheti )
Ndoo yenye mfuniko ya kwendea hospitali
Beseni la mtoto
Mkoba wa kwendea leba
Baby receiver kubwa
Vitambaa laini vya kumuogeshea
Neti ya mtoto
Blanketi la mtoto
Pempas
Wipes
Chupi za kwendea leba 3-4
Vifaa vya kujifungulia au cash
Pesa ya dharula
Pini za kubania kidaso
Nepi
Chupi za mkojo
Vidaso/visempe
Vile vikaratasi vya plastic vya kufungua kidaso (Bambino)
Bebeo la kupimia uzito
Magauni yako 2-3 yatakayotoa nyonyo kirahisi
Star soft

N.k.n.k ongeza ukitakacho kulingana na matakwa yako

NYUMBANI UWE NA
Chupa mbili kwa ajili ya kuwekewa uji
Hotpot
Kikapu
Unga wa uji
Sukari
Sabuni za unga
Pilipili manga iliyosangwa na kusagika vizuri
Andaa mtu wa bili ya maziwa atakaye leta kila siku
Mkaa
Upo vizuri
 
Hahaaaaa, unaishi maisha ya maigizo sana dogo. Mwanaume gani huyo aliyesema hivyo. Hilo ni lofa na ndio ananuswa pumbu huyo eti mimba inataka harufu ya pumbu.
Nimecheka sana na pia nimejisikia vibaya kwa hii comment yako. Pole na kuwa na jioni njema, point yangu ni kuwa ni kweli mimba hua zinasumbua but sio kwa kiwango hiko mnachoikuza.

Unaona sasa ulivyo mpumbavu? Wewe ni mpumbavu sana. Mtu ka share experience yake anayoipitia yeye mke wake akiwa mjamzito dalili zote anabeba yeye halafu unamwita lofa Kama sio upunguani unakusumbua ni nini?

Yaani wewe una ujuaji wa kijinga sana na sidhani kama hata una shule wewe. Haya jioni njema na wewe peleka ujinga wako huko.
 
Unaona sasa ulivyo mpumbavu? Wewe ni mpumbavu sana. Mtu ka share experience yake anayoipitia yeye mke wake akiwa mjamzito dalili zote anabeba yeye halafu unamwita lofa Kama sio upunguani unakusumbua ni nini?

Yaani wewe una ujuaji wa kijinga sana na sidhani kama hata una shule wewe. Haya jioni njema na wewe peleka ujinga wako huko.
Hicho kitu unachokisema kinaweza kuwa kweli nimeshawahi sikia hizo habari.
 
Haya sister basi kuwa na jioni njema.

Sawa siku nyingine subiri mada za kutahiriwa ndio uweke uzoefu wako kama iliuma au haikuuma maana ndio kitu unaweza ukawa unajua vizuri ila sio za kubeba mimba maana haujawahi kubeba mimba wewe. Usivalie njuga mambo ambayo haujayapitia wewe mke wako sio wewe. Ndio maana mke wako hawezi jua ulipitia nini huko jandoni.
 
Unaona sasa ulivyo mpumbavu? Wewe ni mpumbavu sana. Mtu ka share experience yake anayoipitia yeye mke wake akiwa mjamzito dalili zote anabeba yeye halafu unamwita lofa Kama sio upunguani unakusumbua ni nini?

Yaani wewe una ujuaji wa kijinga sana na sidhani kama hata una shule wewe. Haya jioni njema na wewe peleka ujinga wako huko.
Hahaaaaaaaa, hakuna mwanaume wa kweli wa namna ya huyo jamaa. Ndio tuwanaume twa sasa mnavyotupiga makofi hivyo ja kuviambia mimba inataka inuse halafu ya pumbu zake au asipige mswaki inataka isikie harufu ya kinywa chake. Dah, waoneeni huruma watoto wa wanawake wenzenu.
 
Sawa siku nyingine subiri mada za kutahiriwa ndio uweke uzoefu wako kama iliuma au haikuuma maana ndio kitu unaweza ukawa unajua vizuri ila sio za kubeba mimba maana haujawahi kubeba mimba wewe. Usivalie njuga mambo ambayo haujayapitia wewe mke wako sio wewe. Ndio maana mke wako hawezi jua ulipitia nini huko jandoni.
Haya basi yaishe umeshinda.
 
Sawa siku nyingine subiri mada za kutahiriwa ndio uweke uzoefu wako kama iliuma au haikuuma maana ndio kitu unaweza ukawa unajua vizuri ila sio za kubeba mimba maana haujawahi kubeba mimba wewe. Usivalie njuga mambo ambayo haujayapitia wewe mke wako sio wewe. Ndio maana mke wako hawezi jua ulipitia nini huko jandoni.
asubiri mada za nini
 
Hahahaa mimba zina mambo eti Kuna dada alisema yeye kabla hajapata ujauzito alikua anavaa kiatu namba 38, mpaka amemaliza miezi tisa na anatoka leba na mtoto anavaa kiatu namba 41 mpaka leo😆😆😆
 
Jamani kwema?
Ila wanawake ni wasiri jamani, mbona hata hamsemagi kwamba hizi "morning sickness" hilo ni neno tu ila inashinda siku nzima jamani?

Natamani hata mtu angeniambia kwamba ni vichefuchefu siku nzima. Mimi nilijua kama jina lilivyo basi ikifika mchana natakiwa niwe fresh.

Week 8 sasa ila food eversion na nausea muda wote. Kila chakula ninachokifikiria nahisi kichefuchefu.

Nahisi kuumwaumwa tu nikikaa sisikii raha nikilala sisikii raha bora hata kutembea tembea nje. Hiki kichefuchefu natamani hata nitapike ila ni kichefuchefu tu bila kutapika. Khaaa hadi natamani nipige mayowe.

Acha tu jamani watu waringe na watoto wao. Sasa nimeelewa.
Peleka uzi wako jukwaa la JF Doctor
 
Naona umekurupuka na kujaa upepo. Hakuna sehemu niliyosema wanaokufa au wanaoshindwa kujifungua hadi kufanyiwa operesheni ni wanajifanyisha. Hoja yangu ni kuwa wanawake wa sasa nyie masista du mnajiendekeza na mnaigiza maisha yaani Mimba mnafanya kama kitu kikubwa sana. Yaani ukiwa na mimba unataka na mme naye awe na mimba kwa kumpelekesha. Mbona huku vijijini wanawake hawafanyi hivyo mfanyavyo? Hayo mengine ni yako.
Wala msilaumu sana mkuu wanawake wa sasa wanaendana tu na wanaume wa sasa tena afadhali hata ya wanawake, wanaume wengi wa sasa wamefanya jukumu la kutafuta pesa na kuhudumia mke na watoto lionekane ni kubwa sana kiasi cha wengine kulikimbia kabisa na wengine kutaka wapewe heshima yao kwa kulifanya, na wengine wanaenda mbali zaidi na kutaka wanawake wawasaidie hilo jukumu licha ya kuwa wanawake tayari wana majukumu yao yanawasubiri ambayo wao wanaume hawawasaidii
 
Hapo ukute na aliekutia mimba kala kona na maisha ni ungaunga mwana lazma utoke ndio ule ndio utatamani ukufe, mnatupiga sana mizinga ebu hangaikeni kidogo bwana
 
Hiyo hali utakua nayo katika miezi mitatu ya mwanzo 'First Trimester' baada ya hapo utakua poa na kuenjoy ujauzito wako,

Mtoto akianza kucheza ni best experience ever, gusa gusa tumbo lako mara kwa mara ili mtoto afeel your love, zungumza na mtoto wako, muimbie nyimbo nzuri za watoto,msomee hadithi, kua happy muda wote epuka stress na hasira, wamatumbi wana msemo wao "happy mother, happy baby"

Zingatia mlo kamili kwani a healthy child anatokana na chakula bora cha mama, lakini pia uzingatie na diet yako pia usile kama fukufuku na kunenepeana hovyo,

Hongera sana Mama mtarajiwa, nakuombea kheir kwako na kwa mtoto mvuke salama,

NB: Hayo utayakuta kwenye second na third trimester ila kwa sasa msoto lazima.
Ushauri mzuri ila hayo yoote yanatokana na maisha kama huna maisha huna chaguo
 
Pole sana nimezaa watoto wa 4 sikuwahi ku experience morning sickness ila kuna dawa zake nenda pharmacy ikifika 16 weeks utakaa sawa, na mtu asikutishe uchungu unauma kutokana na yeye alivyoumwa uchungu hauna formula kila mmoja ana uchungu wake haufanani, jiunge na darasa la midwife Aggy upate somo kuhusu mimba uchungu kunyonyesha pia install application za pregnancy week calculator zitakusaidia kama Pregnancy+ is the best for me.usisahau kumeza pregnancy prenatal minerals and vitamins au Folic Acid Fefo.
 
Nothing is permanent,vumilia hiyo hali itapita na mwishowe utajaa furaha tele ukishamleta huyo kijacho kwenye ulimwengu wenye shida na raha.
 
Kuna mama namfahmu apa mtaani kwetu anamatatizo ya akili ila Ana watoto 3...bila kukosea watakuwa wamepishana miezi au mwaka mmoja mmoja hao watoto ila maajabu yupo anazurura nao na huyo mwengine kichanga...



Kuna muda najiuliza how how and why why and who.....sipati jibu kabsa
 
Kuna ile kutema mate inaweza kwenda na wewe hadi unaingia leba
Hapo uso haujajaa kama tofali
Ila watoto wa kiume hawatesi kama wa kike
Kama mimba ya boy hupati shida sana
Baby girl sasa daah
Basi tupo tofauti baby hamna rangi nilicha ona nika vutiwa na harufu ya chibuku nikawa nakaa pale ubungo Maziwa vi bar kama lisaaa hivi narudi home
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom