GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,130
Taratibu sasa naanza kumuamini Haji Manara kuwa Wenye Akili timamu Kwao ni Wawili tu Baba yake na Rais Mstaafu Kikwete.
Mkiambiwa ni Washamba mnanuna.
Mkiambiwa ni Washamba mnanuna.
Hmmm.....Taratibu sasa naanza kumuamini Haji Manara kuwa Wenye Akili timamu Kwao ni Wawili tu Baba yake na Rais Mstaafu Kikwete.
Mkiambiwa ni Washamba mnanuna.
Niliwashauri hapa laki mbili nauli tu ya kwenda Zambia ni wizi wa mchana hamkunielewa, haya tueleze mabasi ya Simba kwenda Zambia mpaka sasa hali ikoje?Taratibu sasa naanza kumuamini Haji Manara kuwa Wenye Akili timamu Kwao ni Wawili tu Baba yake na Rais Mstaafu Kikwete.
Mkiambiwa ni Washamba mnanuna.
We kolo, a.k.a mbumbumbu, a.k.a mwana ngada FC, unakoelekea unatupa kazi kukutofautisha na wasio na akili..!! Inamaana hujui umuhimu wa mashabiki kuwepo uwanjani? Kalpana njoo toa hii kolo nyenzako..!!Taratibu sasa naanza kumuamini Haji Manara kuwa Wenye Akili timamu Kwao ni Wawili tu Baba yake na Rais Mstaafu Kikwete.
Mkiambiwa ni Washamba mnanuna.
Hio ndio tofauti ya timu kubwa na ndogo. Wanawaza mademu, SImba wanawaza kushinda mechiTaratibu sasa naanza kumuamini Haji Manara kuwa Wenye Akili timamu Kwao ni Wawili tu Baba yake na Rais Mstaafu Kikwete.
Mkiambiwa ni Washamba mnanuna.
Ndio kazi yake tukuka anayoifanya hana kazi nyingine sasa kwa nini asipostKila saa unapost! Kwanini usimuone Daktari wa magonjwa ya akili ASAP?
Mgonjwa wa Akili mwenye Utajiri wa Followers 166 ( Great Thinkers ) hapa JamiiForums huku Wewe ukiwa huna hata Mmoja tu na Mshindi was Tuzo Jukwaa la Michezo ( Sports ) JamiiForums kwa Msimu wa 2022 / 2023?Kila saa unapost! Kwanini usimuone Daktari wa magonjwa ya akili ASAP?
Yako Mabasi 913 tayari mpaka hi Leo.Niliwashauri hapa laki mbili nauli tu ya kwenda Zambia ni wizi wa mchana hamkunielewa, haya tueleze mabasi ya Simba kwenda Zambia mpaka sasa hali ikoje?
Uwanja wa Benjamin mkapa tuu mnashindwa kujaza itakua kujaza hayo mabasi 800...We kolo, a.k.a mbumbumbu, a.k.a mwana ngada FC, unakoelekea unatupa kazi kukutofautisha na wasio na akili..!! Inamaana hujui umuhimu wa mashabiki kuwepo uwanjani? Kalpana njoo toa hii kolo nyenzako..!!
Unaweza ukajaza na ukafungwa, na mwenye nusu ya washangiliaji akashindaUwanja wa Benjamin mkapa tuu mnashindwa kujaza itakua kujaza hayo mabasi 800...