tusipotoshane
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 730
- 693
Hospitali ipi hiyo ya uchocho kiongozi?Mwananchi iliyo Jirani /Maeneo ya Makoroboi karibu na ofisi za Tanesco Mkoa wa Mwanza au?Kwani hakufikishwa Bugando moja kwa moja au?
Sent using Jamii Forums mobile app
kwanza mgonjwa wa moyo,kapitisha masaa zaidi ya kumi bila dawa,hadi akawa hawezi kutembea,wamempeleka Mz,wakamfikishia hospital ya chocho badala wangempeleka bugando directly,mpaka mtu anazidiwa zaidi na wanampeleka bugando,too late
Sent using Jamii Forums mobile app