Kumbe James Mbatia ni Civil Engineer?

Kumbe James Mbatia ni Civil Engineer?

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
60,408
Reaction score
88,699
Ametamka leo channel 5,kwamba ameipractise kwa mara ya kwanza katika kipindi cha mafuriko dar

Huyu Jamaa si alifukuzwa UDSM au hiyo Degree kaichukulia upendo training center?

Source:EATV-Tinga namba 1 kwa Vijana(No 1 Youth channel)


Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James Mbatia, hupenda kujiita ni engineer. Lakini elimu yake ina utata na haioneshi kama ana degree ya engineering. Labda wataalamu wa Engineers Registration Board (ERB) watushauri kuhusu vigezo vya mtu kuitwa engineer. Maana Mbatia alisoma engineering UDSM halafu hakumaliza degree yake. Pia CV yake inaonesha alisoma diploma chuo kimoja cha Uholanzi na kozi nyingine tena chuo hicho kwa miaka miwili tu. Je, mtu ukiwa na cheti na ukasoma kozi ya miaka miwili tu unastahili kuitwa engineer? Tena CV yake haioneshi uzoefu wowote wa kufanya kazi za uhandisi!


Member of Parliament CV

SalutationHonourable
First Name: Eng. James
Middle Name:Francis
Last Name:Mbatia
Member Type:
Constituent:Kuteuliwa
Political Party:NCCR-MAGEUZI
Office Location:Dar es Salaam
Office Phone: +255222862238
Ext.:
Office Fax: +255222862238
Office E-mail: jmbatia@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 10 June 1964

[TH="colspan: 3, align: left"] GENERAL [/TH]

[TD="align: center"] Member picture [/TD]

[TD="width: 38%"]Nominated by the President[/TD]
School Name/Location Course/Degree/Award
University of Hanze-Netherlands
University of Hanze-Netherlands
University of Hanze-Netherlands
Tambaza Secondary,Dar es Salaam
Kilimanjaro Boys, Kilimanjaro
Iwa-Kirua Vunjo,Moshi
University Of Dar es Salaam

[TH="colspan: 5, align: left"] EDUCATION [/TH]

[TH="align: center"] Start Date [/TH]
[TH="width: 13%, align: center"] End Date [/TH]
[TH="width: 10%, align: center"] Level [/TH]

[TD="align: center"]Civil Engineering In Built Environment[/TD]
[TD="align: center"] 2007
[/TD]
[TD="align: center"] 2009 [/TD]
[TD="align: center"] GRADUATE
[/TD]

[TD="align: center"]International Civil Engineering Management[/TD]
[TD="align: center"] 2007 [/TD]
[TD="align: center"] 2009 [/TD]
[TD="align: center"] DIPLOMA [/TD]

[TD="align: center"]Basic Elements of Safety and Health[/TD]
[TD="align: center"]2008[/TD]
[TD="align: center"]2008[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE[/TD]

[TD="align: center"]"A" Level[/TD]
[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]1986[/TD]
[TD="align: center"]HIGH SCHOOL[/TD]

[TD="align: center"]"O" Level[/TD]
[TD="align: center"]1980[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]

[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1973[/TD]
[TD="align: center"]1979[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]

[TD="align: center"]Civil Engineering[/TD]
[TD="align: center"]1987[/TD]
[TD="align: center"]1992[/TD]
[TD="align: center"] NOT COMPLETED [/TD]
NCCR-MageuziNational Chairman
NCCR-MageuziSecretary Department of Organization and Election
NCCR-MageuziNational youth chairman

[TH="colspan: 4, align: left"] POLITICAL EXPERIENCE [/TH]

[TH="class: text_menu"]Ministry/Political Party/Location[/TH]
[TH="class: text_menu, align: center"]Position[/TH]
[TH="class: text_menu, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]

[TD="align: center"]2000[/TD]
[TD="align: center"]todate[/TD]

[TD="align: center"]1994[/TD]
[TD="align: center"]2000[/TD]

[TD="align: center"]1992[/TD]
[TD="align: center"]1994[/TD]
Giza au Nuru "Mifumo Ya Elimu Inayojali UTU" printed by Colour Print Dar Es Salaam.2008

[TH="colspan: 2, align: left"] PUBLICATIONS [/TH]

[TH="class: text_menu"]Description[/TH]
[TH="class: text_menu"]Date[/TH]
 
Nachojua mimi Mbatia ni Engineer wa Maji ila hatambuliwi na bodi kwani hajawahi kufanya kazi hiyo!Labda kama ameanza na mafusilo
 
Hakumaliza pandikizi hilo.......ila ukute ana vyeti vyote sawa na waliomaliza sawia!!!ana kazi mbili huyo !!!acheni tu!!Kafulila sio train hilo ni siasa kaka!!tulizana
 
Mtu yoyote akimaliza Engineering lazima asajiliwe hebu muulize Mbatia kama amaesajiliwa?Huyo hatambuliki hapa Tz !
 
Usiku huu kuna jamaa alileta thread hapa kuwa anaongea usiku huu Mlimani Tv !vipi kaongea?
 
Engineer yoyote akimaliza masomo nje ya nch lazima ujeTZ UJISAJIRI KWA KUFANYA ENTERISHIP NA KUSAJILIWA HAPA NA KUPEWA NAMBA!MBATIA
 
Mtu yoyote akimaliza Engineering lazima asajiliwe hebu muulize Mbatia kama amaesajiliwa?Huyo hatambuliki hapa Tz !

hacha akili za kipumbavu, huwezi kuwa registered engineer without practice! Una akili kama za magamba!
 
ametamka leo channel 5,kwamba ameipractise kwa mara ya kwanza katika kipindi cha mafuriko dar

huyu jamaa si alifukuzwa udsm au hiyo degree kaichukulia upendo training center?

Source:eatv-tinga namba 1 kwa vijana(no 1 youth channel)

asee jf is never boring
! Upendo trainig center
 
hebu wale wadau wa chama chake waiweke cv yake hapa,mana naona wadau mnabahatisha tu kama waganga wa kienyeji,ila fahamuni kitu kimoja ambacho kwa msomi na mtu muelewa anatakiwa kukifanya.huwezi kumtuhumu mtu kwa namna yoyote iwayo kama huna ushahidi usio na chembe ya shaka.lets be realistic,tuache majungu,mwenye data za uhakika azishushe hapa ili kieleweke.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom