muttamwombe
Member
- Jul 28, 2014
- 98
- 62
Yaan kwa kweli UKAWA inawapa shida sana vjana wa lumumba....nyie anzeni kubeba vya kwenu msepe mapema soon mnakuwa wapinzani
Nachojua mimi Mbatia ni Engineer wa Maji ila hatambuliwi na bodi kwani hajawahi kufanya kazi hiyo!Labda kama ameanza na mafusilo
Mkuu huruhusiwi kujiita Engineer kama hujasajiliwa na Engineers Registration Board (ERB) na ni ILLEGALNijuavyo mimi James Mbatia alisoma Civil Engineering Udsm kabla ya kutimuliwa akiwa mwaka wa 3. Kuna chuo fulani Uholanzi kilimpa offer ya kwenda kumalizia degree yake, na nina uhakika alimaliza na kufaulu. Kama mtu amesoma engineering kwa kiwango hicho kwa ni asijiite Engineer?
Mkuu huruhusiwi kujiita Engineer kama hujasajiliwa na Engineers Registration Board (ERB) na ni ILLEGAL
Mh. Stella Manyanya amekuwa akitumia jina la Engineer Stella Manyanya muda mrefu lakini amepata usajili wa bodi ya Uhandisi mwaka huu kama registered engineer and that is the same thing kwa Mbatia since he is a graduate engineer ana haki ya kujiita engineer coz ndo fani aliyohitimu
kweli tuna watu zaidi ya wajinga nchi hii. na wewe ni injinia? hebu weka hapa hicho kipengele cha ERB. watu wengine mmejaa ujinga unaosbinda ujinga wa mbwia unga .
hacha akili za kipumbavu, huwezi kuwa registered engineer without practice! Una akili kama za magamba!
MKUU USITUKANE MTU USIYEMJUA MTANDAONI....Baada ya hapo soma hapa
The Engineers Registration Board is a statutory body established under the Engineers Registration Act, No. 15 of 1997. The Board has been given the responsibility of monitoring and regulating engineering activities and the conduct of the engineers and engineering consulting firms in Tanzania. through registration of engineers and engineering consulting firms. Under the law, it is illegal for an engineer or an engineering firm to practice the profession if not registered with the Board.The Board has also been given legal powers and has the obligation to withdraw the right to practice from registered engineers if found guilt of professional misconduct or professional incompetence. Registration with the Board is, thus, a license to practice engineering in Tanzania.
Kwahiyo usijiite Engineer kama hujasajiliwa na ERB na kama hujawai kufanya kazi.......................
ACHA SIASA ZA KIJINGA KWENYE VITU VYA MSINGI
Ametamka leo channel 5,kwamba ameipractise kwa mara ya kwanza katika kipindi cha mafuriko dar
Huyu Jamaa si alifukuzwa UDSM au hiyo Degree kaichukulia upendo training center?
Source:EATV-Tinga namba 1 kwa Vijana(No 1 Youth channel)
He has a degree in engineering from either Netherlands, Denmark or Norway;
Mkuu huruhusiwi kujiita Engineer kama hujasajiliwa na Engineers Registration Board (ERB) na ni ILLEGAL
Kwa mujibu wa Engineers Registration Board (ERB):
It is ILLEGAL to practice engineering if not registered with the Board.
(2) It is ILLEGAL to employ unregistered engineers.
(3) It is ILLEGAL to offer engineering consultancy services if the Engineer or the Firm is not registered as Consulting Engineer or Engineering Consulting Firm respectively.
Hebu waandishi wa habari fuatilieni hii. Kwa nini James Mbatie ajiite "Engineer" kama hana taaluma hiyo, uzoefu huo na hajasajiliwa na ERB kwa kuwa hana vigezo?
MKUU USITUKANE MTU USIYEMJUA MTANDAONI....Baada ya hapo soma hapa
The Engineers Registration Board is a statutory body established under the Engineers Registration Act, No. 15 of 1997. The Board has been given the responsibility of monitoring and regulating engineering activities and the conduct of the engineers and engineering consulting firms in Tanzania. through registration of engineers and engineering consulting firms. Under the law, it is illegal for an engineer or an engineering firm to practice the profession if not registered with the Board.The Board has also been given legal powers and has the obligation to withdraw the right to practice from registered engineers if found guilt of professional misconduct or professional incompetence. Registration with the Board is, thus, a license to practice engineering in Tanzania.
Kwahiyo usijiite Engineer kama hujasajiliwa na ERB na kama hujawai kufanya kazi.......................
ACHA SIASA ZA KIJINGA KWENYE VITU VYA MSINGI
Engineer - anyone who can design, implement and maintain a system.
Sasa kwenye issue ya registered or not hapo nawaachia ERB
Kwa mujibu wa Engineers Registration Board (ERB):
It is ILLEGAL to practice engineering if not registered with the Board.
(2) It is ILLEGAL to employ unregistered engineers.
(3) It is ILLEGAL to offer engineering consultancy services if the Engineer or the Firm is not registered as Consulting Engineer or Engineering Consulting Firm respectively.
Hebu waandishi wa habari fuatilieni hii. Kwa nini James Mbatie ajiite "Engineer" kama hana taaluma hiyo, uzoefu huo na hajasajiliwa na ERB kwa kuwa hana vigezo?