Kumbe James Mbatia ni Civil Engineer?

tatizo hata kiingereza hujui, hayo ulitoa ni mashariti kwa mainjia kupewa kazi. na wamesema ni marufuku kwa mainjinia wasio na usajili kupewa kandarasi ama miradi. HATA ERB WANAJUA KUNA MAINJIA HAWAJASAJILIWA . TATIZO SIYO KUITWA INJIA MAANA UINJINIA UNAPATIKANA UKISHAHITIMU TU. hayo ni mashariti ya kupewa kazi na siyo mshariti ya kuitwa injinia. kama mbatia angekuwa amepewa tenda huku hajasajiliwa ERB ndio lingekuwa kosa. LAKINI KUSEMA YEYE NI INJIA YUKO SAHIHI MAANA KUITWA INJINIA NI TAALUMA. HATA UKIWA NA CERTIFICATE YA ENGINEERING WEWE NI ENGINEER. SASA MBATIA ANA DIPLOMA YA ENGINEERING.

Mkuu Nina wasi wasi unawaelimisha walemavu WA akili awa, utatumia muda wako bure kuelimisha wasiojielewa!! Ndio viongozi hawa hata hawajui ilo!! Wapo wengi tu wanadhani kuwa injinia lazma uandikishe, kuwa mhasibu lazima uwe CPA (T) kuwa auditor lazma use mhasibu,, kuwa mwanasheria lazma uwe TLS au law school graduate.... Ili jukumu la kuelimisha vilaza tunakuachia we maana hawataki kusoma wanavizia elimu ya bure APA jf!!
 
"Baba yake nadhani alikuwa Balozi wa Tanzania katika nchi fulani za Ulaya wakati kina Mbatia wanakua."

Uongo! Hakuwahi kuwa balozi katika nchi yoyote.

Hivi wewe dungaembe unajua maana ya nadhani? Ungefanya la maana kama ungetuambia baba yake alikuwa nani basi; Katibu Mkuu wa Wizara?
 
engineering course ni miaka minne.
1987/1988=first year.
1988/1989=second year.
1989/1990=third year.
1990/1991=fourth year.

kutakuwa na jambo lilitokea na mwenye taarifa anaweza kutoa.

japo najua mwaka 1990 kama sikosei kuna mgomo uliosababisha mpa wanafunzi mwaka wa kwanza wasiende kabisa chuo na ilibidi wasubiri mwaka uliofuata.

sijafahamu kama mgomo huu uliathiri mpaka continuing students. na ninashawishika kuamini huu mgomo ndio ulikuwa sababu maana haiwezekani ulisababisha mpaka waliomaliza form six wasianze chuo mwaka ule alafu wahusika wa mgomo kwa maana waliokuwa chuo tayari wabaki salama na kuendelea na masomo kama kawaida.

Nashkuru sana
 
Ili mtu uitwe Engineer au Architect au Qs basi lazima usajiliwe na bodi husika! Kwa hapa tz naona watu wengi wakishasoma tu engeering wanajiita maengineer ila sio kwel na sio sahihi, hapo wanakua graduate engineers tu, zaid ya hapo mtu inabid upractice na uende bodi na kufanya mitihani au kusubmit reports na bodi ikuthibitishe km mtaalam husika.
So km Mbatia ana vyeti vya engineering basi ni engineer jina km wengine wengi wa tz wanavyojiita kwasababu tu wamesoma engineering
 
Also you engineers here in jf, tuambieni kuhusu suala la registration of engineers......master j naye si anapractice kaz yake so yupo registered na board of engineers or not? From there tutapata pa kuanzia.

Sjaelewa master j hapo mkuu yaan inakuakuaje ani
 
ndio maan nimesema, we have silly people who clame to know at their ignorance.

hapa tatizo nimegundua ni kiingereza ndio kinakusumbua maana hujaelewa chochote kwenye maandishi haya.

nilikuwa na haki kusema umejaa ujinga unaovuka kiwango cha mbwia unga aka teja.

hakuna mahali popote palipoandikwa kuwa hupaswi kujiita injia kabla hujasaliwa na hakuna kipengele hicho na Hakijawahi kuwepo katika taifa lolote duniani.

kwa nini nisikuite una kiwango cha kutosha cha ujinga.

eti nisimtukane mtu nisiyemjua, sihitaji kukujua maadamu nilishajua ujinga wako ndio tatizo.

haya maelezo yote yanaeleza mashariti ya kufanya kazi za kiinjinia kuwa ni sharti uwe imesajiliwa na board.

hili nilikuwa najua miaka yote na ukirejea majibu yangu nimetoa humuhumu nikawaambia injinia ni mtu yeyote aliyehitimu masomo ya uhandisi iwe kwa ngazi ya certificate,diploma ama degree na zaidi.

katafute ushahidi mwingine.

narudia tena hakuna sharti linalosema mtu hawezi kuitwa engineer mpaka asajiliwe.

na kama hutakuwa umeelewa majibu haya. nitatoa tafsiri ya sheria hii kwa lugha ya kiswahili ili uelewe na uzuri humu wapo watu wengi wenye uelewa maana tatizo kwako ni kimombo kilipita pembeni

Mkuu nmekuelewa ila sjaelewa kitu kimoja . umesema hakuna sharti linalomzuia mtu kujiita injinia..halafu hapo hapo sheria hairuhusu mtu kufanya kazi za uinjinia kama hajasajiliwa na chama..sasa tatizo linakuja hivi kama hauna authority ya kufanya kazi za uinjinia utajiitaje injinia wakati kazi za uinjinia umezuiwa kuzifanya? It means utakuwa unajiita injinia lakini haufanyi kazi za uinjinia kwasababu kifungu cha chama kinakubana na kama utaendelea kuzifanya bila kibali means utakuwa injinia wa kughushi.....naomba ufafanuzi hapo
 
Back
Top Bottom