Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,671
- 11,338
Mkuu huruhusiwi kujiita Engineer kama hujasajiliwa na Engineers Registration Board (ERB) na ni ILLEGAL
Hiyo ya ERB ni kuweka tu utaratibu ili kuwa na watu ambao wame-practice na kusajiri kazi zao mbalimbali ili once atakapofanya kazi yoyote aweze kutambulika kwa kuwa tayari mamlaka zinazohusika zimeshamtambua lakini kwa akili ya kawaida kwa tafsiri tu ya Engineer ni mtu yoyote aliemaliza masomo ya uhandisi katika ngazi ya shahada na anafanya kazi ziendanazo na hiyo kozi aliyosomea.
An engineer is a professional practitioner of engineering, concerned with applying scientific knowledge, mathematics, and ingenuity to develop solutions for technical, societal and commercial problems. Engineers design materials, structures, and systems while considering the limitations imposed by practicality, regulation, safety, and cost
Mwenye Degree - Engineer / Mhandisi
Diploma au FTC - Technician / Fundi Mchundo
VETA - Fundi Sanifu