Kumbe Hata Wakristo Wana Mahakama Zao?

Kumbe Hata Wakristo Wana Mahakama Zao?

shida kubwa ni ajira ya utitiri wa wanafunzi wa chuo kikuu cha kiisilamu morogoro. wanajifunza elimu ahera ambayo haina ajira duniani
 
This is c****p, hakuna claim ya kueleweka hapo, unataka unambie mkitaka kwenda kwa viongozi wenu kusolve matatizo ya ndoa mnashindwa au polisi wanakuja kuwafukuza? mnajaribu kuishirikisha serikali ili iwe kama ruhusa ya kuwabana watu ambao hawataki kwenda kwenye hizi mahakama, you guys mnaniacha sana hoi hii vita yenu dhidi ya ukristo, its nonsense fighting with people who don't fight back...
 
mtoa mada sijaona ukijibu maswali ya wachangiaji kutaja ni kifungu gani katika katiba kinachoonesha serikali kuitambua mahakama ya kanisa na gharama zake za kijiendesha?
 
Wakuu,
Kumbe hata Wakristo wana Mahakama zao, Serikali ifike mahali itungie Sheria Mahakama za Kanisa ili zitambuliwe kisheria na kama ikiwezekana Kikatiba! Naomba kutoa hoja!

10653647_884656378222843_2855008467810999438_n.jpg

Mbona hata Bakwata huyafanya hayo ,na hata hufubgisha ndoa,hutatua migogoro ya kifamilia,ya mirathi,ya ndoa.Dini kuwa na mahakama yao haikatazwi kinachokatazwa nikutaka serikali izitambue, kuzisimamiana izigaramie! ndugu zangu waislamu nendeni shule acha kulalama mambo yaliyo wazi,akina Kikwete /Mwinyi /Dr Bilali Dr Sheni ,Maalimu Seif,Lipumba na wengineo wasingekuwa hapo walipo wasingeenda shule,kwa jinsi ulivyoleta hii mada inaonyesha upeo wako wa elimu ni wa kiwango gani,badala ya kushinda kwenye maandamano nendeni shule,huko shuleni masomohayachagui huyu mkristo huyu mwislamu ni wewe na bidii yako,pia badala ya kupiga porojoza mahakama ya kadhi kila kukichwa wekeni mkazo katika kujenga shule bora na sio bora shule,wakristu wanawaacha mbali sio sababu ya mfumo hapana ni kwa sababu ya juhudi zao katika elimu,na ustawi mwingine.Kwa waislamu ambao naamini wauumini wao wengi ni matajiri wangeombwa kujenga shule,hospitali n.k na serikali ingechangia kidogo ,sasa vyote hivyo hakuna,na kibaya zaidi mnaodanganyika ni nyie akina mimi ,watoto wa wasomi wa kiislamu wote wengi wanasoma na wamesoma huko mnakoita kwa makafiri,msikubali mnadanganyika wao huwaoni hata kwenye maandamano.Jengeni shule badala ya kukazania kuanzisha klabu za mpira,wakristu kwa kutilia umuhimu elimu na afya(vitu muhimu katika ustawi wa mwanaadamu)karibu kila dhehebu(acha makanisa ya matapeli ya akina Lusekelo) lina hospitali zake,shule zake,vyuo vikuu vyake,na hutasikia wakiingia barabarani hata pale yesu akichorwa katuni,hata pale makanisa yakichomwa moto.Badilikeni ndugu zanguni,la sivyo treni itazidi kuwaacha.
 
Naona mnatumia nguvu sana kubishina na mtu asiyejua kitu, maana anarudia maneno yaleyale, hajibu maswali mnaomuuliza, haweki attachment au uthibitisho wowote. it is just a big show nothing in it.Waste of time and energy to urge with the big show.
 
Naweka hii attachment hapa
chini inayoonesha na
kuthibitisha hiki tunachokisema...

weka basi tuone!!!!!

Hiyo attachment naitafuta mpaka sasa sijui umeipata mkuu?
 
Siyo mahakama tu bali hata hiyo suruali uliyoivaa ni uelekeo wa wakristo au wazungu kama ulivyotamka. Ukitaka usiathiriwe kabisa na mfumo wa wazungu, uwe unaenda kazini na msuli. Hata magari unayoyapanda ni wazungu ndiyo walianza kuyatengeneza, ukitaka uarabu tumia ngamia. Hata hospitali usiende maana huu mfumo tiba tunaoufuata ni wa kizungu.

Kama hutaki kabisa mfumo wa wazungu hata shule hizi usiende kabisa, nenda tu madrasa.

Ni ujinga mkubwa kutopenda kitu fulani au mfumo fulani hata kama mfumo huo ni mzuri kwa sababu tu aliyeuanzisha ana imani fulani. Kama huwataki wazungu, acha kutumia magari, ndege, boats, vipimo na matibabu ya mahospitalini, na kila kitu tukiitacho kama ustaarabu wa leo.

Mfumo wa mahakama uliopo sasa hivi ni wa kikiristo, kwa zaidi ya asilimia 90. Na huu uliachwa na wakolon waingereza ambao walikuwa wakiristo. Kwa maana hiyo basi sheria za nchi ni za kikiristo
 
Yale yale.

Huwezi kukimbilia kwa mods kuomba ukweli unaokuhusu usisemwe hiyo ni ishara tosha kuonesha kwamba hiki unachoambiwa kimekugusa na kuumiza hisia zako.

Hiyo attachment naiweka.

Network inasumbua hata hivyo siyo ngeni.

Buchanan kwenye uzi wale aliiweka hiyo ATTACHEMNT INAYOONESHA WITO WA MAHAKAMA YA KANISA KWA R.B YA POLISI.

BILA SHAKA UMEIONA ILE ATTACHMENT.


MUHUSIKA ANAANDIKIWA R.B NA JESHI LA POLISI AFIKE MAHAKAMANI NYUMBANI KWA PENGO KUSIKILIZA SHAURI LAKE.

POLISI WANATUMIA FEDHA GANI KAMA SIO ZA UUMMA??

Hiyo attachement iko wapi?
 
Katiba hiii imekuwa copied tuh huku kwetu so tokea katiba hii inaanzishwa mahakama za kanisa na kadhi zilikuwepo.

Mahakama za kadhi zikachomolewa na NYERERE LAANA IWE JUI YAKE..NA ZA KANISA ZIKAACHWA.

NA UKISOMA KILE KIFUNGU CHA KUENFORCE HIYO AMRI YA MAHAKAMA ZA KANISA KINASEMA.


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

MAHAKAMA KUU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

DIVISION YA KAZI.

....WITO WA MASHAURI KWENYE MAHAKAMA ZA KANISA...

HAPO MUHUSIKA KAANDIKIWA R.B NA JESHI LA POLISI...KWA KUTUMIA KODI ZETU SISI PIA WAISLAAM...MUHUSIKA ANAPEWA WIITO ARIPOTI KWA KADINALI PENDO TENA NA JESHI LA POLISI??

KAMA SERIKALI HII HAINA DINI ENHEE IWEJE SASA JESHI LETU LA POLISI LITUMIKE KUTEKELEZA WIITO WA CADINAL PENGO??

SERIKALI HAINA DINI TUNASEMA

SASA IWEJE POLISI WETU WATUMIKE KUTELELEZA AMRI ZA MAHAKAMA??

Hueleweki! Attachment iko wapi?
Toa mfano ambapo POLISI wametumika amri za mahakama za kanisa!
Ni lini mswada wa mahakama za kanisa ulipelekwa na kujadiliwa bungeni?
Fafanua vizuri ueleweke.
 
Kweli hapa kuna tatizo la uelewa, na ndio maana CCM inawatumia kwa masilahi yao nyinyi watu. Hamjitambui, hivi aliye waingilia katika Dini yenu na kuwaambia msiwe na hiyo Mahakana ni nani? Kwa nini mnalazimisha iwe ya Kiserikali? Eti walristo wana yao, una uhakika hizo Mahakama za Kikisto zinatambulika Serikalini? Au zipo kwenye Katiba? Labda Katiba ya Jamhuri ya Nuungano wa Tanzania siijui, naomba niwekee kifungu kipi inapatikana nijue, hebu kuweni waelewa kidogo, Serikali imesema, mnaruhusiwa kuwa na hizo Mahakama ila ziwe chini yenu, mnashindwa nini?

Mkuu usiendelee kupoteza muda wako kubishana na wajinga! Hao watu ni wapika majungu hawapendi kufanyakazi, wanapenda kubebwabebwa tu, na hii ni asili yao-uvivu, kila kitu wanataka wafanyiwe kumbuka kwa Farao dhidi ya wana wa Israel! Hawaaminiani kwakuwa wanapenda sana ubwabwa, miradi mingi wamepewa wameua! Kule Tabora ilianzishwa shule ya Nujumi Secondary, alikuja kuzindua ujenzi Ali Hassan Mwinyi waulize hao Waislamu iliko!?
 
samahani kwa hili nitakalolisema,tatizo kubwa kwa waisalamu wasiyoelewa kama wewe,(na maanisha wale wasiyoelewa tu kama wewe),tatizo lao kubwa ni elimu.hizo mahakama za kanisa zinazoshughulikia ndoa na mirathi zinahudumiwa na serikali?kwani kwa hiyo mmezuiwa kuunda mahakama zenu wenyewe na kuzihudumia wenyewe kama wakristu wanavyofanya?kwani lazima ziingie kwenye katiba.


Tatizo elimu,elimu ndiyo tatizo kubwa,tatizo kukosa elimu na maarifa,kukosa elimu ndiyo chanzo cha haya yote unayoyaropoka.wakati wenzio wanakwenda shule we umekalia kuuza kahawa vijiweni,mwishowe unatumia kiungo mbadala kufikiri badala ya ubongo
kwa hiyo wewe mtu akiuza kahawa hana elimu mbona huku moshi watu kibao tu wanauzA kahawa Umetaja wenzio hawajasoma unazungumzia elimu gani? sisi tunao wasomi tena waadilifu sio akina Chenge rugemalila tibaijuka lowasa kilaini maige werema nk. Umesema mahakama za kanisa zinajiendesha huo ni uongo uliotukuka zinaendeshwa na fedha za mou me naona busara tutengane tunakoelekea si kuzuri
 
Kama kweli mahakama ya Kadhi itashughulikia masuala ya NDOA NA MIRATHI, mbona haya ni mambo madogo sana? Kwanini hawa jamaa wameng'ang'ana sana? Hakuna MNA lenu jambo. Sasa hivi Kenya wanaomboleza kifo cha mwanamke mfanyakazi za ndani aliyeuwawa na waarabu. Hii dini iliyoletwa na Waarabu haina nia njema, MAMBO YENU HUKOHUKO MISIKITINI!! Samahani kwa msimamo huo. HALAFU MMEMBANIKA RUBANI WA JORDAN BILA HURUMA, TENA AKIWA HAI. NO NO NO NOOOOOOOOOOO!!!

Mkuu hawa wana lao jambo nyuma ya pazia! Kwanza mkakati wao wa kwanza ni kuisilimisha Serikali, wakifanikiwa hilo hayo mengine itakuwa ni kama kumsukuma mlevi tu, halafu ni wanafiki wanadai kuwa nguruwe ni haramu, sasa kudai Hakimu wa Mahakama ya Kadhi alipwe mshahara kwa kodi iliyotokana kwa pesa ya pombe na nguruwe huu sio unafiki!?
 
kwa hiyo wewe mtu akiuza kahawa hana elimu mbona huku moshi watu kibao tu wanauzA kahawa Umetaja wenzio hawajasoma unazungumzia elimu gani? sisi tunao wasomi tena waadilifu sio akina Chenge rugemalila tibaijuka lowasa kilaini maige werema nk. Umesema mahakama za kanisa zinajiendesha huo ni uongo uliotukuka zinaendeshwa na fedha za mou me naona busara tutengane tunakoelekea si kuzuri

biased!!! wewe ni mmoja kati ya wale wasiyoelewa.soma vizuri post yangu.tatizo shule
 
Kuna ya waislam ndiyo chanzo cha nchi hii kutokuendelea vema! Hakuna mahakama ya Wakristo, kufungisha na kusuluhisha ndoa sio mahakama, kama ni mahakama kufanya hivyo basi hata waislam wanayo manake masheikh pia hufungisha ndoa! Na toka lini ukaona Wakristo wakibwabwaja kulazimisha mambo ya dini bungeni?
Hopeless thread! Sio ajabu mmetumwa na mafisadi wa CCM kuleta mijadala ya kipuuzi ili kuwa fanya Watanzania wasijadili mambo ya msingi!

Pesa za nguruwe na pombe zinawatoa Udenda, waislamu wanajua fika kuwa pesa za kuendesha Serikali hutokana na Kodi na misaada ya wazungu ambao ni wauza nguruwe na pombe, Lakini kwa maksudi wameamua kujitoa Fahamu na kwenda bungeni kuwapigia magoti wale watu ambao huwaita Makafiri wawasaidie kupitisha mahakama ya kadhi ili nao walipwe mshahara pesa za kitimoto na pombe ! Yaelekea kumbe waislamu wainaikubali kiaina kitimoto.
 
Katiba hiii imekuwa copied tuh huku kwetu so tokea katiba hii inaanzishwa mahakama za kanisa na kadhi zilikuwepo.

Mahakama za kadhi zikachomolewa na NYERERE LAANA IWE JUI YAKE..NA ZA KANISA ZIKAACHWA.

NA UKISOMA KILE KIFUNGU CHA KUENFORCE HIYO AMRI YA MAHAKAMA ZA KANISA KINASEMA.


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

MAHAKAMA KUU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

DIVISION YA KAZI.

....WITO WA MASHAURI KWENYE MAHAKAMA ZA KANISA...

HAPO MUHUSIKA KAANDIKIWA R.B NA JESHI LA POLISI...KWA KUTUMIA KODI ZETU SISI PIA WAISLAAM...MUHUSIKA ANAPEWA WIITO ARIPOTI KWA KADINALI PENDO TENA NA JESHI LA POLISI??

KAMA SERIKALI HII HAINA DINI ENHEE IWEJE SASA JESHI LETU LA POLISI LITUMIKE KUTEKELEZA WIITO WA CADINAL PENGO??

SERIKALI HAINA DINI TUNASEMA

SASA IWEJE POLISI WETU WATUMIKE KUTELELEZA AMRI ZA MAHAKAMA??

Jamani mwenzenu ninaona nyota ninaomba mnisaidie katika hiki kilichoandikwa kwa wale wenye utalamu na kazi hiyo.

Ukisoma vizuri maelezo ya mlalamikaji hapo juu inaonyesha kwamba waliondika hati ya wito ni polisi kwa kutumia RB namba yao wakimtaka mtuhumiwa aripoti kwenye mahakama za kanisa badala ya kumuita mtuhumiwa kituoni.

Kinacho nifanye nione nyota ni hapo palipoandikwa.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MAHAKAMA KUU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
DIVISHENI YA KAZI.

Mimi ninavyojua ni kwamba mahali popote unapoitwa na polisi kwa Rb yao hati ya wito ina andikwa hivi;

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MAMBO YA NDANI
JESHI LA POLISI TANZANIA.

Iweje hii hati ya wito wenye Rb ya polisi iwe na mambo ya mahakama kuu na mambo ya division ya kazi halafu mambo ambayo hayana uthibitisho wowote kuwa yalitoka mahakama kuu kama ilivyo hati ya wito wa polisi ambayo ni RB namba?.

Kwa sababu kinachoonekana hapa ni kwamba mahakama kuu divisheni ya kazi ndio waliowaandikia polisi kuwaamuru kuandika wito kwa muhusika ili ahudhurie kwenye mahakama ya kanisa lakini barua yao haina kumbukukumbu yoyote ya kuonyesha kuwa barua waliowaandikia polisi ilitoka mahakama kuu.

Polisi kwenye hati yao ya kumtaka muhusika kuhuzuria kwenye mahakama ya kanisa ina Rb tu kitu ambacho siyo sahihi kwa kuwa RB namba siyo kumbukumbu rasimi za kiofisi.Halafu haina hata kumbukumbu za mrejesho kwenda mahakama kuu ili kujulisha utekerezaji wa amri ya mahakama kuu.
 
kwa hiyo wewe mtu akiuza kahawa hana elimu mbona huku moshi watu kibao tu wanauzA kahawa Umetaja wenzio hawajasoma unazungumzia elimu gani? sisi tunao wasomi tena waadilifu sio akina Chenge rugemalila tibaijuka lowasa kilaini maige werema nk. Umesema mahakama za kanisa zinajiendesha huo ni uongo uliotukuka zinaendeshwa na fedha za mou me naona busara tutengane tunakoelekea si kuzuri

Ni kweli waislamu wengi huwa ni wavivu wa kufanya kazi na wavivu wa kufikiria mda mwingi hushinda vibalazani kupiga majungu, Pesa walizoiba Rostam na wahindi wengine akina singasinga Sethi na wenzao ni nyingi sana hata pesa ya wapagani ikichanganywa na ya wakirsto haiwezi kufikia pesa za hao wajanja ambao kwao mahakama ya kadhi ni Mwiko.
 
Back
Top Bottom