Kumbe Hata Rais wa Kambo Aweza Kuwa Noma Kama Baba au Mama wa Kambo

Kama JPM alikuwa mpigaji, basi tunahitaji wapigaji wa aina hiyo kwa sababu wanatuachia urithi tunaouona kwa macho yetu!
Urithi upi!? Kutekana kuuwana .kuzalisha chuki baina ya watu wa kundi hili na lile ,

Kuwaaminisha Umma kuwa Nchi inajengwa kwa pesa za ndani kumbe taifa linadaiwa deni kubwa ambalo halijawahi kutokea !? Kuwagawa watanzania kwa ukanda na ukabila .. kuikanyaga Katiba ya Nchi na sheria , . Hayo ndio uliyokuwa unataka tuyaige !?
 
U-turn signals za Rais wa kambo wa JMT zimesababisha mawimbi ya unafiki kutamalaki miongoni mwa viongozi wanaotokana na chama tawala (CCM)!

U-turn signals alizotuma Rais wa kambo bila shaka zimekuwa encouragement kubwa sana kwa Speaker Ndugai, kwa mfano, kurudia dili lake la Bandari ya Bagamoyo, ambalo aliamua kulitelekeza enzi zile za Rais asilia wa JMT, Hayati JPM.

Kadri siku zinavyokwenda ndivyo wasiwasi unavyozidi kuongezeka juu ya utashi na uwezo wa Rais wetu wa kambo kuitafsiri na kuitekeleza ilani ya chama chake (CCM) ya 2020-2025.

Bahati mbaya sana, CCM yenyewe sasa iko katika hali tete kuliko wakati mwingine wowote, kwa sababu ya leadership vacuum kwenye ngazi ya taifa. Hiki ni kipindi ambacho viongozi wanaotokana na CCM walipaswa kuwa makini kuliko kipindi kingine chochote.

CCM ina uamuzi mgumu wa kufanya. Inabidi ichague kuishi au kuishia. Kuchagua kuishi maana yake kuchagua kuendelea kusimamia utekelezaji wa ilani yake bila kuyumba. Kuchagua kuishia ni kuchagua ni kuweka pembeni ilani yake na kukumbatia U-turn signals ambazo Rais wa kambo na baadhi ya viongozi wengine wazituma. Hakuna namna ambayo chaguo la kuishia litaiacha CCM salama. Mwaka 2025, CCM lazima ipoteze ridhaa ya kuongoza taifa hili.

Chaguo ni lenu CCM. Chagueni kuishi au kuishia!
Hivi ununuzi wa ndege kwa cash ulikuwa kwenye ilani yao au ndiyo mambo ya kukurupuka kwa Jiwe, hapa usiulize habari ya kununua Wapinzani
 
Sa

Safari hii hii uchaguzi ni mgumu sana kwa CCM iwapo wataenda na wimbi hili la kujaribu kupoteza legacy yote ya JPM.Warejee hotuba za Rais wa Malawi, Botswana kwenye kuaga mwili wa hayati Dodoma. Zilibeba ujumbe wa maonyo makubwa. Twende kwa tahadhali sana kuhusu U turn zetu.
Wakati Jiwe yuko hai aligaragazwa na Mh Lissu mpaka ikabidi aibe kura, sembuse akiwa kaburini anaongoza malaika!
 
Hivi ununuzi wa ndege kwa cash ulikuwa kwenye ilani yao au ndiyo mambo ya kukurupuka kwa Jiwe, hapa usiulize habari ya kununua Wapinzani

Inaonekana unajaribu kuingia kwenye anga ambayo huna utaalamu nayo. Afadhali uendelee kukaa mbali tu. A buy decision is distinct and separate from a financing decision. Ilani haina sababu ya kuielekeza Serikali juu financing options!
 
Janja yenu ya kumpotosha awarudishe wana wa Israel Misri tunaijua, japo yeye anaendelea kulewa mapambio. Labda atajua mbele ya safari!
Safari hii mmeumbuka yaani mnatapa tapa kama kuku aliyechinjwa. Mlidhani Rais huyu atakua anaabudu sifa na mapambio yenu kama kiongozi wa malaika. Kaa kwa kutulia ndo kwanza tupo ep 01
 
Ulielewa ulichokuwa unachagua? Ulichagua Rais na VP. Yeye alichaguliwa kuwa VP. That’s why hajawahi kuwa VP wa kambo!
Utake usitake Samia ndie raisi wa nchi. Kama haumpendi unaruhusiwa kuhama nchi kama akina lissu,lema na wengine walivyohama katika zama za magufuli.
 
Hata baba au mama wa kambo ni mume au mke halali wa mzazi wa mtu! Ni neno la Kiswahili sanifu!
Wewe ni mpuuzi.
Kama huyu mama wa Kambo au rais wa Kambo, nani ni Rais au mama mzazi kwa muktadha wa upuuzi wako?

Kama unataka kusema kusema yule ambaye alibaka hata hayo mamlaka ni upuuzi mwingine.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Inaonekana unajaribu kuingia kwenye anga ambayo huna utaalamu nayo. Afadhali uendelee kukaa mbali tu. A buy decision is distinct and separate from a financing decision. Ilani haina sababu ya kuielekeza Serikali juu financing options!
Ok, nimechukua ushauri wako bora nikae kimya, akili yako ikikaa sawa tutajadili vizuri, kwa sasa naona umevurugwa and I do understand what you are going through.
 
Wewe ni mpuuzi.
Kama huyu mama wa Kambo au rais wa Kambo, nani ni Rais au mama mzazi kwa muktadha wa upuuzi wako?

Kama unataka kusema kusema yule ambaye alibaka hata hayo mamlaka ni upuuzi mwingine.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app

Eti “...ambaye alibaka hata hayo mamlaka...”! Umeishiwa hoja? Kasome kwanza doctrine ya Nemo dat quod non habet ili uje uandike kitu chenye mashiko!
 
Safari hii mmeumbuka yaani mnatapa tapa kama kuku aliyechinjwa. Mlidhani Rais huyu atakua anaabudu sifa na mapambio yenu kama kiongozi wa malaika. Kaa kwa kutulia ndo kwanza tupo ep 01

Tunakijua mnachokitafuta kwake. Msipokipata mtamgeuka kwa speed ya mwanga! Choices zake ni mbili: akupeni halafu chama chake kiishie au asikupeni ili chama chake kiishi.
 
Back
Top Bottom