Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,978
- 103,352
Yeye hajui, lakini sisi wengine tunajua mnachokitafuta kwake. Atajua haya mapambio yenu yalikuwa na maana gani, baada ya operations za upigaji kufufuka na kutamalaki tena!
Kwani upigaji chini ya Magufuli ulioandoka mpaka useme utafufuka? Sema wapigaji watakuwa wengine mbali ya sukuma Gang.