Kumbe Hata Rais wa Kambo Aweza Kuwa Noma Kama Baba au Mama wa Kambo

Pulchra Animo

JF-Expert Member
Jun 16, 2016
3,398
2,990
U-turn signals za Rais wa kambo wa JMT zimesababisha mawimbi ya unafiki kutamalaki miongoni mwa viongozi wanaotokana na chama tawala (CCM)!

U-turn signals alizotuma Rais wa kambo bila shaka zimekuwa encouragement kubwa sana kwa Speaker Ndugai, kwa mfano, kurudia dili lake la Bandari ya Bagamoyo, ambalo aliamua kulitelekeza enzi zile za Rais asilia wa JMT, Hayati JPM.

Kadri siku zinavyokwenda ndivyo wasiwasi unavyozidi kuongezeka juu ya utashi na uwezo wa Rais wetu wa kambo kuitafsiri na kuitekeleza ilani ya chama chake (CCM) ya 2020-2025.

Bahati mbaya sana, CCM yenyewe sasa iko katika hali tete kuliko wakati mwingine wowote, kwa sababu ya leadership vacuum kwenye ngazi ya taifa. Hiki ni kipindi ambacho viongozi wanaotokana na CCM walipaswa kuwa makini kuliko kipindi kingine chochote.

CCM ina uamuzi mgumu wa kufanya. Inabidi ichague kuishi au kuishia. Kuchagua kuishi maana yake kuchagua kuendelea kusimamia utekelezaji wa ilani yake bila kuyumba. Kuchagua kuishia ni kuchagua kuiweka pembeni ilani yake na kukumbatia U-turn signals ambazo Rais wa kambo na baadhi ya viongozi wengine wanazituma. Hakuna namna ambayo chaguo la kuishia litaiacha CCM salama. Mwaka 2025, CCM lazima ipoteze ridhaa ya kuongoza taifa hili.

Chaguo ni lenu CCM. Chagueni kuishi au kuishia!
 
1618022778837.png
 
U-turn signals za Rais wa kambo wa JMT zimesababisha mawimbi ya unafiki kutamalaki miongoni mwa viongozi wanaotokana na chama tawala (CCM)!

U-turn signals alizotuma Rais wa kambo bila shaka zimekuwa encouragement kubwa sana kwa Speaker Ndugai, kwa mfano, kurudia dili lake la Bandari ya Bagamoyo, ambalo aliamua kulitelekeza enzi zile za Rais asilia wa JMT, Hayati JPM.

Kadri siku zinavyokwenda ndivyo wasiwasi unavyozidi kuongezeka juu ya utashi na uwezo wa Rais wetu wa kambo kuitafsiri na kuitekeleza ilani ya chama chake (CCM) ya 2020-2025.

Bahati mbaya sana, CCM yenyewe sasa iko katika hali tete kuliko wakati mwingine wowote, kwa sababu ya leadership vacuum kwenye ngazi ya taifa. Hiki ni kipindi ambacho viongozi wanaotokana na CCM walipaswa kuwa makini kuliko kipindi kingine chochote.

CCM ina uamuzi mgumu wa kufanya. Inabidi ichague kuishi au kuishia. Kuchagua kuishi maana yake kuchagua kuendelea kusimamia utekelezaji wa ilani yake bila kuyumba. Kuchagua kuishia ni kuchagua ni kuweka pembeni ilani yake na kukumbatia U-turn signals ambazo Rais wa kambo na baadhi ya viongozi wengine wazituma. Hakuna namna ambayo chaguo la kuishia litaiacha CCM salama. Mwaka 2025, CCM lazima ipoteze ridhaa ya kuongoza taifa hili.

Chaguo ni lenu CCM. Chagueni kuishi au kuishia!
kama ni mpinzani kweli nje ya CCM tumia hiyo fursa
 
U-turn signals za Rais wa kambo wa JMT zimesababisha mawimbi ya unafiki kutamalaki miongoni mwa viongozi wanaotokana na chama tawala (CCM)!

U-turn signals alizotuma Rais wa kambo bila shaka zimekuwa encouragement kubwa sana kwa Speaker Ndugai, kwa mfano, kurudia dili lake la Bandari ya Bagamoyo, ambalo aliamua kulitelekeza enzi zile za Rais asilia wa JMT, Hayati JPM.

Kadri siku zinavyokwenda ndivyo wasiwasi unavyozidi kuongezeka juu ya utashi na uwezo wa Rais wetu wa kambo kuitafsiri na kuitekeleza ilani ya chama chake (CCM) ya 2020-2025.

Bahati mbaya sana, CCM yenyewe sasa iko katika hali tete kuliko wakati mwingine wowote, kwa sababu ya leadership vacuum kwenye ngazi ya taifa. Hiki ni kipindi ambacho viongozi wanaotokana na CCM walipaswa kuwa makini kuliko kipindi kingine chochote.

CCM ina uamuzi mgumu wa kufanya. Inabidi ichague kuishi au kuishia. Kuchagua kuishi maana yake kuchagua kuendelea kusimamia utekelezaji wa ilani yake bila kuyumba. Kuchagua kuishia ni kuchagua ni kuweka pembeni ilani yake na kukumbatia U-turn signals ambazo Rais wa kambo na baadhi ya viongozi wengine wazituma. Hakuna namna ambayo chaguo la kuishia litaiacha CCM salama. Mwaka 2025, CCM lazima ipoteze ridhaa ya kuongoza taifa hili.

Chaguo ni lenu CCM. Chagueni kuishi au kuishia!
kama ni mpinzani kweli nje ya CCM tumia hiyo fursa
 
U-turn signals za Rais wa kambo wa JMT zimesababisha mawimbi ya unafiki kutamalaki miongoni mwa viongozi wanaotokana na chama tawala (CCM)!

U-turn signals alizotuma Rais wa kambo bila shaka zimekuwa encouragement kubwa sana kwa Speaker Ndugai, kwa mfano, kurudia dili lake la Bandari ya Bagamoyo, ambalo aliamua kulitelekeza enzi zile za Rais asilia wa JMT, Hayati JPM.

Kadri siku zinavyokwenda ndivyo wasiwasi unavyozidi kuongezeka juu ya utashi na uwezo wa Rais wetu wa kambo kuitafsiri na kuitekeleza ilani ya chama chake (CCM) ya 2020-2025.

Bahati mbaya sana, CCM yenyewe sasa iko katika hali tete kuliko wakati mwingine wowote, kwa sababu ya leadership vacuum kwenye ngazi ya taifa. Hiki ni kipindi ambacho viongozi wanaotokana na CCM walipaswa kuwa makini kuliko kipindi kingine chochote.

CCM ina uamuzi mgumu wa kufanya. Inabidi ichague kuishi au kuishia. Kuchagua kuishi maana yake kuchagua kuendelea kusimamia utekelezaji wa ilani yake bila kuyumba. Kuchagua kuishia ni kuchagua ni kuweka pembeni ilani yake na kukumbatia U-turn signals ambazo Rais wa kambo na baadhi ya viongozi wengine wazituma. Hakuna namna ambayo chaguo la kuishia litaiacha CCM salama. Mwaka 2025, CCM lazima ipoteze ridhaa ya kuongoza taifa hili.

Chaguo ni lenu CCM. Chagueni kuishi au kuishia!
Ila Wabongo tuna maneno; eti RAIS WA KAMBO! Ahahahahahahahahhaha!!!
 
Sa
U-turn signals za Rais wa kambo wa JMT zimesababisha mawimbi ya unafiki kutamalaki miongoni mwa viongozi wanaotokana na chama tawala (CCM)!

U-turn signals alizotuma Rais wa kambo bila shaka zimekuwa encouragement kubwa sana kwa Speaker Ndugai, kwa mfano, kurudia dili lake la Bandari ya Bagamoyo, ambalo aliamua kulitelekeza enzi zile za Rais asilia wa JMT, Hayati JPM.

Kadri siku zinavyokwenda ndivyo wasiwasi unavyozidi kuongezeka juu ya utashi na uwezo wa Rais wetu wa kambo kuitafsiri na kuitekeleza ilani ya chama chake (CCM) ya 2020-2025.

Bahati mbaya sana, CCM yenyewe sasa iko katika hali tete kuliko wakati mwingine wowote, kwa sababu ya leadership vacuum kwenye ngazi ya taifa. Hiki ni kipindi ambacho viongozi wanaotokana na CCM walipaswa kuwa makini kuliko kipindi kingine chochote.

CCM ina uamuzi mgumu wa kufanya. Inabidi ichague kuishi au kuishia. Kuchagua kuishi maana yake kuchagua kuendelea kusimamia utekelezaji wa ilani yake bila kuyumba. Kuchagua kuishia ni kuchagua ni kuweka pembeni ilani yake na kukumbatia U-turn signals ambazo Rais wa kambo na baadhi ya viongozi wengine wazituma. Hakuna namna ambayo chaguo la kuishia litaiacha CCM salama. Mwaka 2025, CCM lazima ipoteze ridhaa ya kuongoza taifa hili.

Chaguo ni lenu CCM. Chagueni kuishi au kuishia!
Safari hii hii uchaguzi ni mgumu sana kwa CCM iwapo wataenda na wimbi hili la kujaribu kupoteza legacy yote ya JPM.Warejee hotuba za Rais wa Malawi, Botswana kwenye kuaga mwili wa hayati Dodoma. Zilibeba ujumbe wa maonyo makubwa. Twende kwa tahadhali sana kuhusu U turn zetu.
 
Kwanini unamuita mama wa watu Samia kuwa Rais wa kambo? Ukambo wake unasababishwa na uzanzibari wake au utofauti wake na baadhi ya mambo ya JPM?

Yeyote anayepata urais wa kurithi chini ya Ibara ya 37(5) ni Rais wa kambo. Hata kama angekuwa Majaliwa, Mbowe, Lissu au mtu mwingine yeyote naye angekuwa Rais wa kambo. Hili ni neno la Kiswahili sanifu!
 
U-turn signals za Rais wa kambo wa JMT zimesababisha mawimbi ya unafiki kutamalaki miongoni mwa viongozi wanaotokana na chama tawala (CCM)!

U-turn signals alizotuma Rais wa kambo bila shaka zimekuwa encouragement kubwa sana kwa Speaker Ndugai, kwa mfano, kurudia dili lake la Bandari ya Bagamoyo, ambalo aliamua kulitelekeza enzi zile za Rais asilia wa JMT, Hayati JPM.

Kadri siku zinavyokwenda ndivyo wasiwasi unavyozidi kuongezeka juu ya utashi na uwezo wa Rais wetu wa kambo kuitafsiri na kuitekeleza ilani ya chama chake (CCM) ya 2020-2025.

Bahati mbaya sana, CCM yenyewe sasa iko katika hali tete kuliko wakati mwingine wowote, kwa sababu ya leadership vacuum kwenye ngazi ya taifa. Hiki ni kipindi ambacho viongozi wanaotokana na CCM walipaswa kuwa makini kuliko kipindi kingine chochote.

CCM ina uamuzi mgumu wa kufanya. Inabidi ichague kuishi au kuishia. Kuchagua kuishi maana yake kuchagua kuendelea kusimamia utekelezaji wa ilani yake bila kuyumba. Kuchagua kuishia ni kuchagua ni kuweka pembeni ilani yake na kukumbatia U-turn signals ambazo Rais wa kambo na baadhi ya viongozi wengine wazituma. Hakuna namna ambayo chaguo la kuishia litaiacha CCM salama. Mwaka 2025, CCM lazima ipoteze ridhaa ya kuongoza taifa hili.

Chaguo ni lenu CCM. Chagueni kuishi au kuishia!
Hivi nyie Team mapambio mlitegemea Samia awe kama yule ndugu yenu mpenda sifa?
Atembee anarusha hela barabarani kama chizi wa Mererani.
Atukane watu hadharani kama katoroka Milembe.
Afokefoke ovyo kama Nyapala wa jela?
 
Sijawahi waamini CCM, ila jambo la maana mwenyekiti wenu wa kambo anachoweza fanya ni kuacha katiba mpya ile ya warioba.
 
Back
Top Bottom