Kumbe Hata Rais wa Kambo Aweza Kuwa Noma Kama Baba au Mama wa Kambo

Ubaya unakumbukwa kuliko wema

My friend, that’s an oversimplified view of human behavior. Hakuna general formula inayoweza kuelezea behavior ya kila mwanadamu kwa usahihi, muda wote.

Mara nyingi binadamu akikuambia haki imetendeka sio lazima amaanishe kwamba haki imetendeka kweli. Anachomaanisha ni kwamba maslahi yake binafsi hayajaumizwa na hatua iliyochukuliwa. Pia, binadamu akikuambia fulani ni mbaya haina maana kwamba huyo fulani ni mbaya kweli.

Zipo scenarios nyingi za watu wanaohesabiwa ubaya kwa kutenda haki. Fikiria, kwa mfano, mwajiri aliyemfukuza mfanyakazi wake kwa sababu ya performance issues. Huyo mwajiri anaweza kuwa alifuata taratibu zote zinazohusika, lakini mfanyakazi hawezi kumuona huyo mwajiri wake kuwa alitenda haki; lazima atamuhesabia ubaya! Hata hakimu anayemhukumu mtu kwenda jela kwa kosa alilolitenda kweli, naye anahesabiwa ubaya.

Kwa kifupi, hawa watu waliohesabiwa ubaya kwa kutenda haki hawana uwezekano wa kupata msaada wa aina yoyote kutoka kwa wale walioumiziwa maslahi yao binafsi, hata kama wangepatwa na shida ya aina gani. They became enemies of the others just because they did what was just and equitable!
 
U-turn signals za Rais wa kambo wa JMT zimesababisha mawimbi ya unafiki kutamalaki miongoni mwa viongozi wanaotokana na chama tawala (CCM)!

U-turn signals alizotuma Rais wa kambo bila shaka zimekuwa encouragement kubwa sana kwa Speaker Ndugai, kwa mfano, kurudia dili lake la Bandari ya Bagamoyo, ambalo aliamua kulitelekeza enzi zile za Rais asilia wa JMT, Hayati JPM.

Kadri siku zinavyokwenda ndivyo wasiwasi unavyozidi kuongezeka juu ya utashi na uwezo wa Rais wetu wa kambo kuitafsiri na kuitekeleza ilani ya chama chake (CCM) ya 2020-2025.

Bahati mbaya sana, CCM yenyewe sasa iko katika hali tete kuliko wakati mwingine wowote, kwa sababu ya leadership vacuum kwenye ngazi ya taifa. Hiki ni kipindi ambacho viongozi wanaotokana na CCM walipaswa kuwa makini kuliko kipindi kingine chochote.

CCM ina uamuzi mgumu wa kufanya. Inabidi ichague kuishi au kuishia. Kuchagua kuishi maana yake kuchagua kuendelea kusimamia utekelezaji wa ilani yake bila kuyumba. Kuchagua kuishia ni kuchagua kuiweka pembeni ilani yake na kukumbatia U-turn signals ambazo Rais wa kambo na baadhi ya viongozi wengine wanazituma. Hakuna namna ambayo chaguo la kuishia litaiacha CCM salama. Mwaka 2025, CCM lazima ipoteze ridhaa ya kuongoza taifa hili.

Chaguo ni lenu CCM. Chagueni kuishi au kuishia!
Sisi tunachoshukuru ni Mungu kutujibu Maombi yetu kwa kutondolea yule Dikteta Uchwara aliyekuwa kutwa kucha anateka watu, kuwatesa na kuwaua kwa kimvuli cha Uzalendo.
Hayo Mengine yenu, Mkituvuruga tena tunapiga goti Kumlilia Mungu.
Na atatusikiza
 
Sisi tunachoshukuru ni Mungu kutujibu Maombi yetu kwa kutondolea yule Dikteta Uchwara aliyekuwa kutwa kucha anateka watu, kuwatesa na kuwaua kwa kimvuli cha Uzalendo.
Hayo Mengine yenu, Mkituvuruga tena tunapiga goti Kumlilia Mungu.
Na atatusikiza

Sala za kizembe Mungu hana time nazo. Anatoa na kutwaa kwa kufuata schedule yake mwenyewe!
 
.
20210411_000553.jpg


Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Uyo Rais wa kambo tutampa miaka 30 kabisa maana...

Huo uchuro sasa kwa Rais.
Haya mambo ya kumuongezea muda kiongozu wa nchi mnamfanya Mungu aweke plan B mezani.
Atumukie muda wake wote kwa mujibu wa Katiba huku akili na mwili vikiwa bado vinanguvu ya kutumika kwa usahihi
 
U-turn signals alizotuma Rais wa kambo bila shaka zimekuwa encouragement kubwa sana kwa Speaker Ndugai, kwa mfano, kurudia dili lake la Bandari ya Bagamoyo, ambalo aliamua kulitelekeza enzi zile za Rais asilia wa JMT, Hayati JPM.
Hili la Ndugai ni kitisho kikubwa zaidi kwa mstakabali wa taifa. Ndugai ni kiongozi wa Bunge ambalo ndicho chombo chenye mamlaka ya kisheria kuisimamia na kuidhibiti serikali.

Anapokuwa na msimamo unaofuata upepo kama anavyodhihirisha sasa anawayumbisha hata wabunge anaowaongoza.
 
U-turn signals za Rais wa kambo wa JMT zimesababisha mawimbi ya unafiki kutamalaki miongoni mwa viongozi wanaotokana na chama tawala (CCM)!

U-turn signals alizotuma Rais wa kambo bila shaka zimekuwa encouragement kubwa sana kwa Speaker Ndugai, kwa mfano, kurudia dili lake la Bandari ya Bagamoyo, ambalo aliamua kulitelekeza enzi zile za Rais asilia wa JMT, Hayati JPM.

Kadri siku zinavyokwenda ndivyo wasiwasi unavyozidi kuongezeka juu ya utashi na uwezo wa Rais wetu wa kambo kuitafsiri na kuitekeleza ilani ya chama chake (CCM) ya 2020-2025.

Bahati mbaya sana, CCM yenyewe sasa iko katika hali tete kuliko wakati mwingine wowote, kwa sababu ya leadership vacuum kwenye ngazi ya taifa. Hiki ni kipindi ambacho viongozi wanaotokana na CCM walipaswa kuwa makini kuliko kipindi kingine chochote.

CCM ina uamuzi mgumu wa kufanya. Inabidi ichague kuishi au kuishia. Kuchagua kuishi maana yake kuchagua kuendelea kusimamia utekelezaji wa ilani yake bila kuyumba. Kuchagua kuishia ni kuchagua kuiweka pembeni ilani yake na kukumbatia U-turn signals ambazo Rais wa kambo na baadhi ya viongozi wengine wanazituma. Hakuna namna ambayo chaguo la kuishia litaiacha CCM salama. Mwaka 2025, CCM lazima ipoteze ridhaa ya kuongoza taifa hili.

Chaguo ni lenu CCM. Chagueni kuishi au kuishia!
CCM haina ridhaa ya watanzania. Hata huyo unaedhani ni Raisi asiekuwa wa "kambo" wewe na mimi tunajuwa kwamba hakupata ridhaa! Hakuna mtanzania mwenye akili timamu utaweza kumuaminisha kwamba CCM inatawala kwa ridhaa za watanzania. Uchaguzi uliopita ni wazi kabisa haukuwa wa haki wala huru na ulikuwa ni uchaguzi mbaya na mbovu kuwahi kutokea! Ridhaa gani unayomaanisha walioipata CCM na the called "Raisi asiekuwa wa kambo"?
 
CCM haina ridhaa ya watanzania. Hata huyo unaedhani ni Raisi asiekuwa wa "kambo" wewe na mimi tunajuwa kwamba hakupata ridhaa! Hakuna mtanzania mwenye akili timamu utaweza kumuaminisha kwamba CCM inatawala kwa ridhaa za watanzania. Uchaguzi uliopita ni wazi kabisa haukuwa wa haki wala huru na ulikuwa ni uchaguzi mbaya na mbovu kuwahi kutokea! Ridhaa gani unayomaanisha walioipata CCM na the called "Raisi asiekuwa wa kambo"?

Chama kupata ridhaa ya kutawala haimaanishi kwamba kila mpigakura amekikubali. Ridhaa inapatikana kwa kupata simple majority ya kura zilizopigwa. Wewe huawakubali walioshinda, lakini tupo tuliowakubali na kuwawezesha kushinda. Hiyo democracy yenyewe!

Kwa uchaguzi kuwa huru na wa haki haimaanishi kwamba uchaguzi haukuwa na irregularities zozote bali ni kwamba irregularities zilizojitokeza hazikuwa na uwezo wa kubadilisha mshindi wa uchaguzi endapo zisingekuwepo. Hii ndiyo standard inayotumiwa na election experts na courts of law.

Unsubstantiated voter fraud claims are useless. Hata Trump na wafuasi wake walikuwa nazo za kumwaga, lakini hazikuwasaidia, wakaishia kufanya uasi dhidi ya Congress!
 
Huo uchuro sasa kwa Rais.
Haya mambo ya kumuongezea muda kiongozu wa nchi mnamfanya Mungu aweke plan B mezani.
Atumukie muda wake wote kwa mujibu wa Katiba huku akili na mwili vikiwa bado vinanguvu ya kutumika kwa usahihi
Nina amini katika kufuata katiba mkuu hiyo miaka 30 ni kauli ya kuzingua tu
 
Back
Top Bottom