Haujui maana ya break?halima ndo nani????
Watu bana hamtabiriki..sasa mnataka avae nini?mikufu ya plastiki halafu muanze kumcheka tena?Na hiyo mikufu ya dhahabu imetulia kifuani !! Kweli TZ nchi ina mali.
halima ndo nani????
umejuaje kama anatongoza! unataka acheke akiangalia juaMh kutongoza kazi wakuu!
Weye Pinda mwangalie Halima Mdee usoni bwana...........................acha kumwonea haya................................
Kufua sijui cha kichina au ni Tanganyika jeki tuu