kaka ukitaka kujua google kazi imewashinda angalia hizi website kama filebuzz.com dial112.com fileguru.com softwaregreek.com na nyengine kama hizihawa jamaa bwana wana script ambazo incase unasearch kitu automatically inaonekana kama unachokisearch wanacho kumbe hicho kitu hawana then unapo open unakuta advertisement ya software zao. Kama hujagundua anza kuchunguza leo.Anayefahamu, mambo ya INTERNET, Yaani DYNAMIC WEB PAGES, zinakuletea Data kama Database ilivyo, yaani inamaana kwamba neno ambalo linakuwa na rank ya JUU katika SEARCH ndilo linakuwa la kwanza. Na hivyo, kuweka local domain faida yake ni Utilization of Local language in searching... Indexing
mmenikumbusha image moja jamaa aliandika white people stole my car lakini ktk sujjection ikaleta ..did you mean black people stole your car?. hii inamaanisha wanaotafuta record zaidi ya kuibiwa magari ni white zidi ya black
we unashangaa hilo andika "university students" uone matokeo alafu andika "wanafunzi wa vyuo" uone matokeoNajaribu kutafuta neno fulani ..naandika "Kum..." matokeo ninayopata ina nilazimu kuachana na google search kwa hilo neno ...naingiza "picha za ..khaa.hapo napo balaa tupu. Sijuia TACRA wanafanya ni nini hapa!!.