Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,223
- 7,993
Ha ha ha nimeiona. Lakini tatizo sio Google. Tatizo ni akili mbofu mbofu za wabongo. Sasa hata na wewe itakuwaje unatafuta "kum.."? Hilo ni neno gani katika lugha ya Kiswahili. Yaani kum..ninhii nini au nani? Unaona sasa, imekula kwakoo!
!
!
hahahaha au angeanza na "mku..... ingemalizia mengiiiine kumbe ulitaka kuandika mkutano au mkubwa.