Kumbe Fiesta ni kuitangaza CCM!?

Kumbe Fiesta ni kuitangaza CCM!?

Makamanda na nyie anzisheni fiesta yenu na siyo kulalamika kila kitu. Ndege zimenunuliwa mnalalamika, madawati yametengenezwa mnalalamika, mahakama ya mafisadi imefunguliwa mnalalamika. Mnataka nini haswa?
Chama kibadilike[emoji4]
 
Mkuu kwani ulishasikia wanasimama pale jukwaani wanasema

"CCM oyeeeeeeeeeeeee" au huwa wanasema jaman uchaguzi ujao kula iende kwa CCM

OK naomba uniambie wanaitangazaje CCM mkuu????
Vita ya bosi wa fyeesta na Sugu Mbilinyi.
 
Wabongo bwana... mtu kaandaa tamasha lake, hakukulazimisha uudhulie, hakukulazimisha ukate tiketi.
Yeye kaliandaa kwa pesa zake na kw madhumuni anayojua yeye. Sasa wewe unalalamika nini?
Tunakuwa taifa la kulalamika hata vitu visivyokuwa na msingi.
Kama hupendi kitu ambacho hakijatumia kodi yako kufanyika fanya kukipotezea
Malalamiko huchangia maendeleo kwa kasi kwa sababu hufanya mlalamikiwa awe makini muda wote.Hata bank kuna sanduku la maoni na si kila mtu anatoa maoni yasiyo na ulalamishi.
 
Nimepita stand ya daladala hapa Kilombero Arusha nimekuta Gari la matangazo linamasticker ya M na mwenge siwezi kuweka hapa maana nayachukia.. swali langu kwenu wanajukwaa kumbe fiesta ni kuitangaza CCM?
Mmiliki wa hilo gari ni nani Mkuu?
 
Mwisho wa siku you just have to mind your own business. Watu wanapiga pesa we unapiga porojo afu unalalamika maisha magumu. Akili ku mkichwa.
 
Malalamiko huchangia maendeleo kwa kasi kwa sababu hufanya mlalamikiwa awe makini muda wote.Hata bank kuna sanduku la maoni na si kila mtu anatoa maoni yasiyo na ulalamishi.
Utalalamika kama we ni mtumia huduma wa hiyo bank huwezi lalamika kama si mtumiaji.
kwa fiesta kama inakuboa tiketi hununui tamasha huudhulii same as that.
 
Vita ya bosi wa fyeesta na Sugu Mbilinyi.
Sugu ana vita gani wakati aliwazunguka wenzake akavuta mpunga mambo yakaisha kimya kimya bila kuwashirikisha wenzake.
Hawakujua kuwa waliyekuwa wanamsupport hakuwa anapigania maslahi yao bali yake peke yake.
 
Sugu ana vita gani wakati aliwazunguka wenzake akavuta mpunga mambo yakaisha kimya kimya bila kuwashirikisha wenzake.
Hawakujua kuwa waliyekuwa wanamsupport hakuwa anapigania maslahi yao bali yake peke yake.
alivuta kiasi gani?
 
nilitaka kujua kiwango chako cha uongo maana siku hizi mnaleta maneno ya vibalazani humu JF...
Hakuna watu waongo kama nyinyi mliozunguka nchi nzima kwa zaidi ya miaka 7 mnasema lowassa fisadi mkatuhakikishia mna ushahidi leo hii nyinyi ndiyo mmegeuka eti kama kuna ushahidi tuuweke hadharani.
Sasa tuwaamini kwa lipi? Maana ina maana ni watu wakuongea vitu bila ushahidi.
 
Hakuna watu waongo kama nyinyi mliozunguka nchi nzima kwa zaidi ya miaka 7 mnasema lowassa fisadi mkatuhakikishia mna ushahidi leo hii nyinyi ndiyo mmegeuka eti kama kuna ushahidi tuuweke hadharani.
Sasa tuwaamini kwa lipi? Maana ina maana ni watu wakuongea vitu bila ushahidi.
kumbe ulikuwa unazunguka tu? Mahakama inayoitwa ya mafisadi nimesikia imefunguliwa ngoja tuone lowasa anavyofungwa!? miaka 9 lowasa akiwa pembeni baro Richmond inaogopwa haigusiki au hata Escrow ni Lowasa tatizo la nchi hii ni CCM
 
MOrogoro ROMA alipanda jukwaani na akashusha ile mistari yake ghafula mic zikazimwa
 
Back
Top Bottom