Niemejikuta nakupendaKama wasanii wa ccm unategemea nn? We kama unapenda mziki wao kawasikilize tu ila mi sipotezagi mda wangu kwa hao pungaz am sorry
jinsia yako plz?Niemejikuta nakupenda
acha ujinga na umaskini wa fikra mbongo ww
Mbona mmepaniki sana mkisikia makada wameguswa mnaweweseka.Makamanda na nyie anzisheni fiesta yenu na siyo kulalamika kila kitu. Ndege zimenunuliwa mnalalamika, madawati yametengenezwa mnalalamika, mahakama ya mafisadi imefunguliwa mnalalamika. Mnataka nini haswa?
JINSIA YAKO PLEASENiemejikuta nakupenda
Punguza kulalamika.Mbona mmepaniki sana mkisikia makada wameguswa mnaweweseka.
Nani aliyekuambia tatizo la Tanzania ni Ndege? madawati? utakuwa unawaza kwa kutumia masaburi siyo Bure..Makamanda na nyie anzisheni fiesta yenu na siyo kulalamika kila kitu. Ndege zimenunuliwa mnalalamika, madawati yametengenezwa mnalalamika, mahakama ya mafisadi imefunguliwa mnalalamika. Mnataka nini haswa?
Unaona sasa akili yako ilivyo. Umeshaanza kutumia lugha ya matusi. Inakusaidia nini?... madawati? utakuwa unawaza kwa kutumia masaburi siyo Bure..
Hivi wewe unafikiri unaweza kumfunza nani?... labda tukufunshe matumizi ya hizi !?,?.....