Kumbe Fiesta ni kuitangaza CCM!?

Kumbe Fiesta ni kuitangaza CCM!?

Wew hukuona mikutano yote ilizuiliwa kwa kigezo hakuna usalama lakini wao wakawa wanapuyanga kila kona?

Hao pia ni maprofesa uchwara Kama wale akina mipumba tofauti ni majina tuu.
 
Akina ADAM MCHOVU na BI-TWELVU ni makada watiifu wa chama cha mapinduzi. Hukuona walivyokuwa wanamtetea Propesa Lipumba!?
 
Ha..! CCM nao wanavitega uchumi vingi kumbe ndo maana wanalipana posho lumumba[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nimepita stand ya daladala hapa Kilombero Arusha nimekuta Gari la matangazo linamasticker ya M na mwenge siwezi kuweka hapa maana nayachukia.. swali langu kwenu wanajukwaa kumbe fiesta ni kuitangaza CCM?
Mkuu kwani ulishasikia wanasimama pale jukwaani wanasema

"CCM oyeeeeeeeeeeeee" au huwa wanasema jaman uchaguzi ujao kula iende kwa CCM

OK naomba uniambie wanaitangazaje CCM mkuu????
 
Wabongo bwana... mtu kaandaa tamasha lake, hakukulazimisha uudhulie, hakukulazimisha ukate tiketi.
Yeye kaliandaa kwa pesa zake na kw madhumuni anayojua yeye. Sasa wewe unalalamika nini?
Tunakuwa taifa la kulalamika hata vitu visivyokuwa na msingi.
Kama hupendi kitu ambacho hakijatumia kodi yako kufanyika fanya kukipotezea
 
Mkuu kwani ulishasikia wanasimama pale jukwaani wanasema

"CCM oyeeeeeeeeeeeee" au huwa wanasema jaman uchaguzi ujao kula iende kwa CCM

OK naomba uniambie wanaitangazaje CCM mkuu????
ukisoma thread utaelewa tu...
 
Back
Top Bottom