MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,011
- 6,546
Hakika kweli mabeberu wanatufanyia timing tu waafrika na watakaa tena kama walivyogawana makoloni safari hii watafanya minada kwa nchi za Afrika zikifikia madeni ya trillion zaidi ya 100.
Tuendele kukopa kulipa mishahara minono na magari ya kifahari !!
Tuendele kukopa kulipa mishahara minono na magari ya kifahari !!