Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
Last edited by a moderator:
N'take radhi.
Mie Mdada wa Kati kati ya jiji na hubby wenu Loya wa Jf tutawezaje funga ndoa ya mkeka?
Blaki Womani,unan'tafuta.
Ile kesi yako imesha kwishwa?
Au ndio inayo kufanya usionekane!
mwahhhh papito, miss u too! mzima lakini hajambo mwanangu?? msalimie nitapita mitaa yenu dec, nitakustua, lol!
Madame B umeona ninavyopendwa na kulindwa kama yai mwanangu lol
Asante sana dada Blaki Womani
Hebu hakikisha na Filipo haachani na marejesho
Wangu msaidie huyo kijana asije akaanza kukimbiza wake za watu kama st.paka mweusi
pamoja sana mwana! fika salama na uyaepuke masugar mummy ya arachuga, kama mie niogopavyo niniliyu!! ebo!
kazi ya ukuadi inalipa
Afu ujue niko zamu ya mchana leo,subiri nimalize kibarua,
Karibu sana Grenade
Naomba kukutambulisha wake zangu wapendwa nikianza na Kipenzi changu toka moyoni kwa juu kabisa bibie Amyner (Kwa sasa yuko busy na majukumu ya Kifamilia so hujamuona humu), Bibie Remmy (Huwa anatuliza moyo wangu kwa kipindi ambapo Amyner haupo), BADILI TABIA (Huyu Hajatulia nimemtema kama wewe ni ME beba mzigo), The secretary (Huwa akimiss mambo yangu anakuja home kujisevia), Preta (Nilishinikizwa kumuona na PakaJimmy ila nampenda sana sema ni kiruka njia sana mara kwa TANMO mara kwa KakaKiiza mara kwa mtu chake yan utulivu F) Kongosho ndio alinifundisha tendo tamu..na kama nilivyomfundisha King'asti
Dah nahisi bado wengi naomba Mr Rocky aje anisaidie kukutambulisha ila ukionana na Yummy , Dena Amsi ujue Ni wake za Mr Rocky
Mwisho nakutambulisha dada yangu Blaki Womani na sweetlady
Pia siwasahau Mods wenzangu Paw (Mume wa King'asti ila inaniuma sana), Roulette (Miss you Madame), na Fang na Meezy
Grenade afadhali umewahi kusema we ni me, ungetongozwaje, nways karibu, pili ukitaka kukaa kwa usalama humu usijaribu hata kuwaza kumpm mama watoto wangu charminglady, kama wewe ni mgeni basi ujue kuna kitu kinaitwa ban, yan likizo isiyo na malipo.... byeeee enjoy uwepo wako hapa